ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,603
Si mlisema Barabara zenu hazipelekwinna maji.😂😂Angalieni sisi tunavyofanya kazi ni tofauti na kundurenda
View: https://twitter.com/PauloNaSilla/status/1784588205783646588?t=SJ40w8YriwMYBN0UtDqxbw&s=19
Pole Sana hii sio Tanzania ni Zimbabwe😂😂
Nenda kafundishwe tena na Mama Ngina. Style yako hii ni outdated. We have been at your level long time ago.
Mwigulu na Marope?
Chupa ya soda kibandani ama kwenye kibanda sio kwa kibanda.Mandazi ni watu useless like you. You don’t have money, you don’t have a job, you don’t academic certificates. What do you have?
Kazi ni kutafuna chupa ya soda kwa kibanda.
Infact mimi ninamkubali sana Kipara January Makamba.Ni ambaye hana uchawa wa aina yoyote,anajiamini kuliko maelezo na anafanya kazi bila matangazo wala promo yoyote
Kwani lazima wakenya wazungumze Kiswahili same na ya Tanzania? USA and UK are using different English words and all are correct.Chupa ya soda kibandani ama kwenye kibanda sio kwa kibanda.
Kwa hutumika kwenye nomino za viumbe hai sio vitu kima wewe.
Add Zimbabwe.Japo nimechelewa.. hata DRC wapo
Unahamisha magoli?Kwani lazima wakenya wazungumze Kiswahili same na ya Tanzania? USA and UK are using different English words and all are correct.
By the way have you learned how to write Locomotives? Have you also learned the difference between MU and Locomotives?
List batili kwa sababu kuna Ethiopia,Sudan na DR Congo.