Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani huu mzigo unanunua timu zote za Kenya na ligi yao yote, tukiwaambia sisi ni baba zenu muwe mnaelewa na kukaa kimya.
7B762000-E943-4D20-9D3F-A1752147025B.jpeg
 
Sasa nani ana double standards? Hapo kwenu utajiri umeshikiliwa na Waarabu na Wahindi - mnawaita Watanzania kisa wana uraia, huku kwetu a very tiny percentage of our land imemilikiwa na Raia wenye asili ya Kizungu, mnasema sio Wakenya. Huoni umejijibu swali lako la double standards?
A tiny percentage?

Alafu hao wahindi na waarabu eti wanamiliki utajiri wetu, kwani wakiyumba kuna kitakachoharibika si wanakua replaced.

Kipindi cha Magufuli unajua ni wahindi na waarabu wangapi walikula msoto sana.

Hadi huyo Mo. Still we was not affected?
 

🤣🤣🤣
 
A tiny percentage?

Alafu hao wahindi na waarabu eti wanamiliki utajiri wetu, kwani wakiyumba kuna kitakachoharibika si wanakua replaced.

Kipindi cha Magufuli unajua ni wahindi na waarabu wangapi walikula msoto sana.

Hadi huyo Mo. Still we was not affected?
Yes, a tiny percentage.

Hapo kweni matajiri ni Wahindi na Waarabu buanaa. Nani hajui hilo?
 
Back
Top Bottom