Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Please show me the difference between this Dodoma and Isiolo.
Hii hapa tofauti ya kwanza

1705075342955.png
 
Mkenya ni mtu mbaya sana, yaani yupo radhi akose kila kitu ili ajionyeshe.

Kwamba pesa zimeelekezwa kwenye apartment uchwara, ambayo haitatui shida yoyote.

Eti high rise building, high rise building, na umeme huo unaenda kuwatoa kamasi.

Anakwambia hatuna high rise hatujengi, bila kujua kwamba Gov imeelekeza pesa kwa vitu vya maana ambavyo vikikamilika utasikia tena Wakunya wametembeza bakuli.

JHNNP - Kutibu tatizo la umeme, kua na umeme wa uhakika nchi nzima, hivyo kuongeza investors ambao baadae watakuja jenga hizo high rise kama HQ, au watakuja pangisha tukijenga High Rise, na hiyo JHNPP inaweza wafanya waliopo Kenya wahamie huku ikiwa hawapati umeme huko maana hakuna plan na umeme kabisa.


EACOP- Ikikamilika tutakua tunapata mgao wetu kwa kila lita hivyo government kugenerate mapato yatakayosaidia kufund baadhi ya miradi sekta zote. Na itasaidia mji wa Tanga kukua, Kenya ukitoa NBO na Mombasa miji mingine strategic Kenya ni ipi?

SGR - Tunaenda kuifanya TZ hub ya mizigo EA, kuvutia more investors.

Irrigation schemes, Agricultural block- Kufanya kuwe na uhakika wa chakula nchi nzima kipindi chote cha mwaka, kuongeza exports ya mazao ya chakula kama tulivyofanya kwa tumbaku. Wajinga wamewekeza kwa Maua😂😂


Mpango wa miji, na Barabara kuunganisha nchi nzima ambayo itarahisisha inclusive economy, pia kuifanya TZ iwe strong kiusalama, maana itakua kila kona kuna huduma hitajika, ila mijitu inawaza high rise mijini, huku nchi haina mawasiliano kama Baringo, northern Kenya, na mpaka wake na somali.


Hii inatosha, sasa unajiuliza akili kama za Teargas zimeenda wapi?
 
Mkenya ni mtu mbaya sana, yaani yupo radhi akose kila kitu ili ajionyeshe.

Kwamba pesa zimeelekezwa kwenye apartment uchwara, ambayo haitatui shida yoyote.

Eti high rise building, high rise building, na umeme huo unaenda kuwatoa kamasi.

Anakwambia hatuna high rise hatujengi, bila kujua kwamba Gov imeelekeza pesa kwa vitu vya maana ambavyo vikikamilika utasikia tena Wakunya wametembeza bakuli.

JHNNP - Kutibu tatizo la umeme, kua na umeme wa uhakika nchi nzima, hivyo kuongeza investors ambao baadae watakuja jenga hizo high rise kama HQ, au watakuja pangisha tukijenga High Rise, na hiyo JHNPP inaweza wafanya waliopo Kenya wahamie huku ikiwa hawapati umeme huko maana hakuna plan na umeme kabisa.


EACOP- Ikikamilika tutakua tunapata mgao wetu kwa kila lita hivyo government kugenerate mapato yatakayosaidia kufund baadhi ya miradi sekta zote. Na itasaidia mji wa Tanga kukua, Kenya ukitoa NBO na Mombasa miji mingine strategic Kenya ni ipi?

SGR - Tunaenda kuifanya TZ hub ya mizigo EA, kuvutia more investors.

Irrigation schemes, Agricultural block- Kufanya kuwe na uhakika wa chakula nchi nzima kipindi chote cha mwaka, kuongeza exports ya mazao ya chakula kama tulivyofanya kwa tumbaku. Wajinga wamewekeza kwa Maua😂😂


Mpango wa miji, na Barabara kuunganisha nchi nzima ambayo itarahisisha inclusive economy, pia kuifanya TZ iwe strong kiusalama, maana itakua kila kona kuna huduma hitajika, ila mijitu inawaza high rise mijini, huku nchi haina mawasiliano kama Baringo, northern Kenya, na mpaka wake na somali.


Hii inatosha, sasa unajiuliza akili kama za Teargas zimeenda wapi?
Sasa hapo Irrigation schemes anabeza, anawaza high rise, baadae ilistrike unga wanaomba ruzuku, mpaka wanaingia mtaani kuharibu vitu
 
Kwamba pesa zimeelekezwa kwenye apartment uchwara, ambayo haitatui shida yoyote.
Do you know the reason why 98% of Tanzanians lives in bad houses? It's because there are no good houses worth noting there at Dar is slum. The reason why there are no good houses is because everybody is poor hapo Dar is slum.

Eti high rise building, high rise building, na umeme huo unaenda kuwatoa kamasi.
Are you aware that we produce more electricity than your poor country?

Anakwambia hatuna high rise hatujengi, bila kujua kwamba Gov imeelekeza pesa kwa vitu vya maana ambavyo vikikamilika utasikia tena Wakunya wametembeza bakuli.
Ati Gov imeelekeza pesa wapi? Your government is poor you are only surviving on loans and donations. Apartments and high-rises are being built by individuals huku Kenya. We don't wait for the government to build them for us. That's why I usually call you people lazy, you can't do anything meaningful by your own.

SGR - Tunaenda kuifanya TZ hub ya mizigo EA, kuvutia more investors.
We have a functional SGR. Not pipe dreams.

Mpango wa miji, na Barabara kuunganisha nchi nzima ambayo itarahisisha inclusive economy, pia kuifanya TZ iwe strong kiusalama, maana itakua kila kona kuna huduma hitajika,
Are your cities?😂😂😂 Tanzanian cities and planning are like water and oil. Which roads are you talking about? Are you aware that Tanzania only have 13,000km of paved roads? Kenya has 23,000km.
 
Back
Top Bottom