buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Hi ni DRC seems, kuna vipicha unarudia rudia kwa nchi moja mpaka unachanganyikiwa, hizo si plate number za Bongo na B series si zilikua miaka ya 2000s huko.
Hi ni DRC seems, kuna vipicha unarudia rudia kwa nchi moja mpaka unachanganyikiwa, hizo si plate number za Bongo na B series si zilikua miaka ya 2000s huko.
UmechanganyaKwani wewe swali lako lilikuaje? Inaelekea nyie uelewa wenu ni mdogo huko Kunyaland.
e🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mchina ni kama maji usipokunywa utaoga ndio maana africa nzima inahamia china kwenye bus ikiongozwa na tanzania
Congo, zambia, malawi, burundi , uganda, mozambique,zimbabwe, rwanda bus zilizojaa ni za kichina na sasa nimeona kenya wameanza kununua bus za kichina
Mpaka south africa mchina katawala huko, nigeria, egypt au je hukuona bus zilizotumiwa world cup qatar??😅😅😅😅😅Hizi nchi zote umetaja hapa ni takataka tupu. Na eti uko proud!!!
e
sasa ni nn unachukia Mchina namna hii? Au kwavile ni mdeni mkuu wa Kunyaland?Hizi nchi zote umetaja hapa ni takataka tupu. Na eti uko proud!!!
e
Pole mkuu nilikuwa namjibu mkunya aliyesema show me any Kenyan company yenye bus za China.Umechanganya
Mbona train zao ni za kichina na hasemi chochote?sasa ni nn unachukia Mchina namna hii? Au kwavile ni mdeni mkuu wa Kunyaland?
Mkuu Teargas lakini haya mabasi ni things of the past....manufacturer lazima wa 'UP their game' hata hii 'matatu culture' itaenda perish tu, coz exposure inavyoongezeka lazima ita affect market force, good example ni busgo zinavyozidi ku gain market, mpaka traditional business people wa matatu wanachanganyikiwa. Mchina ana offer modern, safe and cheap buses....haya mabodi ya chuma ndani kuna injini za malori yanaenda kutupwa kuleee.....it is manufacturer have to change, engage best design, technical team....najua kwa sasa wanapambana sana na market forces using old tactics wanasahau customers washabadilika, na hapo ndiyo 'ucartel' una thrive Kenya....mchina kaja kufanya biashara Africa, anaiba kwa akili.....wakati wafanya biashara wa zamani wamebaki na dhana ya kuiba tu kwa mteja.
These buses have a lot of technical design flaws.....good thing ni vile tu huwa na ma injini yenye nguvu....na hizo ma injini ndiyo huwa inapelekea bodi zake zinawahi kuchoka, honest speaking management za makampuni zipo conservative huku zikichangiwa na mamlaka kutokuwa serious na usalama wa vyombo vya kusafirisha abiria....
Uganda ndio mumeona ni WA kuwauzia ma scrappers yenu? 😆😆Export to Uganda.
Body by KCI
View attachment 2854072View attachment 2854073View attachment 2854074View attachment 2854075
Kwanza Yana muonekano wa kishamba hovyo kabisa hayo yabakie huko huko kericho ndio maana Tzn huwezi Kuta hayo matakataka wanayoita Mabasi.Dah kweli Kenya na buses zao za vitambaa vya kochi, zero safety concerns, body mbayaa, bati full, unakuta mtu anakuja na kelele weee.
Sasa Bongo yaje kufanya nini kama si kujipatia hasara, yalivyo mazito si yatakua yanakula fuel sana, na kwa sababu chuma full yatakua na joto hatari. Pamoja na kucontain vumbi kwa sana kulingana na seat zao za vitambaa vya sofa. Mwisho kuishis kufuga kunguni.
No wonder tuliyaditch kitambo, ni hasara hayana improvement kwa tech.
Proud Tzn buses from ChinaHizi nchi zote umetaja hapa ni takataka tupu. Na eti uko proud!!!
e
Mlishawaona hao ni manyumbu si ndio? Acheni Dhambi nyie mtapigwa kiberiti 😆😆
Ebu tuonyeshe bus company ya South Africa that bought aChinese bus in 2023.Mpaka south africa mchina katawala huko, nigeria, egypt au je hukuona bus zilizotumiwa world cup qatar??😅😅😅😅😅
Hvi ww china unamchukulia kama level yenu nyinyi ??😅😅😅😅😅😅
Wakati Kenya is exporting buses nyinyi mnashangilia kununua fake second hand Chinese buses😂Mlishawaona hao ni manyumbu si ndio? Acheni Dhambi nyie mtapigwa kiberiti 😆😆
The kind of Buses you should export ni kama hizi za Tanzania View attachment 2854363View attachment 2854364View attachment 2854365View attachment 2854366View attachment 2854367View attachment 2854368