Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uganda heb nao wawaachie hawa super power watambe kwenye comfort zone yao. 🤣🤣🤣 Imekua ni kuwanyima amani everywhere, Mradi wa bomba la mafuta mmewanyang'a, deals za bandari mmewanyang'anya hata hiki kikombe cha under 18 pia.? 🤣🤣🤣🙌🙌

Hawa kenge wa north walivyo myopic wanaweza kuhamishia chuki zao UG.. Maana ni kama mbwa kichaa.. Yoyote wanaparamia tu..

Hebu walengesheni kwenye battle ya logistics companies.. Upande wa cargo trucks na tankers za fuel.. Maana kwenye mabasi tayari tumewalalia
 
Hawa kenge wa north walivyo myopic wanaweza kuhamishia chuki zao UG.. Maana ni kama mbwa kichaa.. Yoyote wanaparamia tu..

Hebu walengesheni kwenye battle ya logistics companies.. Upande wa cargo trucks na tankers za fuel.. Maana kwenye mabasi tayari tumewalalia
🤣🤣🤣 Kiukweli upande huu wanaweza kukimbia mana hizo fleet za truck zinazoingia Bongo mjomba ni balaa watu wanaingiza hadi truck 1000 kwa mkupuo mmoja. Teargas upo tayari tuende ground.? 🤣🤣
 
Come and argue with me the day any Tanzanian team will lift any African tournament trophy. Or the day any of your teams will defeat Gor Mahia in those continental tournaments. As of now you're still children behind Kenya.
Gor mahia ndio nini mbona unafosi tujue vyenu wacha vijitambulishe vyenyewe kama sisi huku kwetu 🤣🤣🤣🤣
 
Tatu city new roads, and expensive houses coming up.View attachment 2837373View attachment 2837374
Picha zote za upande upande ulizoweka tunazi summarize hapa 👇👇🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20231011-202256~2.png
Screenshot_20231011-202340~2.png
Screenshot_20231011-202404~2.png
Screenshot_20231011-202434~2.png

Screenshot_20231011-202503~2.png

Bado mna safari ndefu kuikaribia Dodoma 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom