ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 2,064
- 3,216
Prezidar huyu jumapili iliyopita kavaa kanisani belt yenye thamani ya million 5 na ushee humu akiwaambia wakenya wafunge mikanda. Je ndege yenu itatua salama?🏃♂️
Unaziita "simple typos" ha ha ha. Hivi kwa nini mnakimbilia kuandika kwa Kiingereza cha ugoko ili muonekane na nyie mpo mpo?😁You keep correcting simple typos whenever anyone posts in English (insecurity) yet you can't post a paragraph in English. Post a whole paragraph in English to ascertain your status as this thread's grammar teacher.
Now, retype this sentence in English.Unaziita "simple typos" ha ha ha. Hivi kwa nini mnakimbilia kuandika kwa Kiingereza cha ugoko ili muonekane na nyie mpo mpo?😁
Za kenya, zinaundwa na jua kali wasitudanganye 😒😒😒
Wewe hujielewi.Now, retype this sentence in English.
Huwezi kutambua kosa la lugha kama huielewi, yeye kaamua tuu kugoma kuandika lugha ya mkoloni, siyo kwamba haijui.Now, retype this sentence in English.
Can't wait to see it happening 🔥🔥
Wacha kufikiria kama kima. Mashabiki wa mpira wanapotazama mpira unawakuta wakisema jinsi Ronaldo au Messi alivyo ovyo, hii inamaanisha wanaujua mpira kuliko Ronaldo na Messi? It is easier to criticize what somebody else does than to do it yourself.Huwezi kutambua kosa la lugha kama huielewi, yeye kaamua tuu kugoma kuandika lugha ya mkoloni, siyo kwamba haijui.
That too, type it in English Mr. Grammarman.Wewe hujielewi.
Kila siku nilikuwa nina mashaka na English yake, inakaa Kibera na tipa lake....Hayuko states huyu english ya kibera hiyo mkuu. At 15 years una integrate kwenye educational system yao na community inayokuzunguka ina shape your english. Sasa huyo english yake ni ya kinyangau.
Na hizo ni “typo” sio? Ha ha ha. Nyie nyang’au mna matatizo ya kutokujielewa. Bado mnaishi enzi za utumwa.Wacha kufikiria kama Kuna. Mashabiki wa mpira wanapotazama mpira unawakuta eakisema jinsi Ronaldo au Messi alivyo ovyo, hii inamaanisha wanaujua mpira kuliko Ronaldo na Messi? It is easier to criticize what somebody else does than to do it yourself.
Your friend is stupid and petty. Mtu aliandika lean instead of learn ndio huyo anacorrect wakati humo tuko tu kupitisha wakati. Yani Na huo utoto wote utategemea naye ajue kutype yet hajawai type a whole paragraph kwa kiingereza.
Hapana, ni kutojua Kiswahili. Sasa andika hiyo sentensi kwa kiingereza. Umekuwa ovyo hadi unacorrect neno sahihi alafu Chamoto bado anasema eti unajielewa. Wee Ni mmoja wa watu ambao sijawai ona wakitoa hoja ya maana humu.Na hizo ni “typo” sio? Ha ha ha.
Kwa nini nitumie Kiingereza?Hapana, ni kutojua Kiswahili. Sasa andika hiyo sentensi kwa kiingereza.
Because you can't correct something you don't understand you idiot.Kwa nini nitumie Kiingereza?
Hapo utakuta uko na koti lako oversize unajivunia broken yako, kuwa mkenya tabu sana wallahi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Now, retype this sentence in English.
Wewe ni mpuuzi sana.Because you can't correct something you don't understand you idiot.