ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,250
🤣🤣🤣🤣aafu kujiona yanajua 😂😂😂😂Yaani huwa yanakera sana 🤣 , nI kama vipofu.
Anaumia sana alaf unaeza kuta hata ugonjwa wa moyo umemsibu tayar 😅😅😅Mzee hiyo ni proposal ambayo ni approved, waiting for it's contraction to kick off. Au umeumia.?
Tuko awamu ya Mama hii,business minded Leader ndio maana hata TRA Wamepata huo ujasiri.Kwa wale waliosema Tz hatujengi tena magorofa marefu. 🤣🤣🤣.
Anza kuongea the day it will start constructionMzee hiyo ni proposal ambayo ni approved, waiting for it's contraction to kick off. Au umeumia.?
Do you know what make a city to be classified as tier 1? Ama unadhani ni mapicha ndio wanaangalia?😂😂Nimekuambia tena usilinganishe huo uchafu wenu na miji ya watu kenge mkubwa!
Kwenye lot ambayo sasa kuna central railway station kuna kinafasi wamekiacha wazi nadhani watajenga jengo hapo. TRC ina HQ Dodoma lakini real estate business ni lucrative Dar. Kuna fursa za kujenga offices, high-end apartments na hotels karibu na station. Pia rendering ya SGR station ya Dar inaonyesha majengo mawili.Kwa pembeni hapo TRC na wao wapige unyama
Wewe siku zote huwa unalazimisha lifestyle za nchi nyingine ndio zi-define maisha ya nchi zote. Nchi yenu watu wanahangaika na njaa lakini unajisifu kuwa mnalipa subscription Netflix. This is hilarious!I don't think if Tanzania have a middle class. Even a simple Netflix they can't afford.
Netflix subscription by country
SA 73%
Nigeria 10%
Kenya 3.9%
Tanzania 0%
View attachment 2824991
Actually you don't have any entertainment industry worth mentioning.Wewe siku zote huwa unalazimisha lifestyle za nchi nyingine ndio zi-define maisha ya nchi zote. Nchi yenu watu wanahangaika na njaa lakini unajisifu kuwa mnalipa subscription Netflix. This is hilarious!
I haven’t bothered to check your information but perhaps Tanzania’s strong domestic entertainment industry, which includes locally produced films, is what keeps people from consuming foreign produced content. Lakini kuwa na Netflix subscription sio prerequisite ya kuwa na maisha mazuri. It’s a lie!
Kuwa na Netflix shows that you have more disposable income. You can't have Netflix when you don't have more money than what you need to cover for your basic needs.Lakini kuwa na Netflix subscription sio prerequisite ya kuwa na maisha mazuri. It’s a lie!
But reality suggests otherwise, doesn’t it?Kuwa na Netflix shows that you have more disposable income. You can't have Netflix when you don't have more money than what you need to cover for your basic needs.