Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha sisi Tz tuendelee kuwa hapa EA ili tuwe kama kioo cha wao kijitazama na ku up their game.
 
Utapingana na ukweli mpaka lini? Kila siku tuna share articles zinazotuweka mbele yenu kwa mambo yote hayo aliyotaja coodip1 ifike wakati accept truth zen move on hutakufa.
Hajawahi toka nje ya Mukuru kwa Njenga huyo achana nae akija kushtuka wanapakana na first world aka Western Europe na hapo mipaka yote tutakuwa tumeshapiga electric fence na surveillance cameras.
 
Kwani wewe hujui Tanzania inaongoza hapa EA kwa financial inclusion na pia financial diversity.
 
Mombasa hakuna logistics bora za kupokea mzigo huu wa pipeline. Through Tanga port mizigo itasafirishwa na reli ambayo inapita along the pipeline route hence easy and fast implementation of the project with minimal cost compared to Mombasa route plus pipeline coating facility ipo Nzega zile pipeline za Ugandan section zItasafirishwa from Nzega by train to Mwanza port for onward shipping to Ports in Uganda.

Kunyans have missed the boat on EACOPP😁
 
Tungeweza kuwasaidia kwa kuunganisha SGR yao na yetu lakini shida yao sio eco friendly itakuwa inamwaga diesel along our tracks na kuchafua overhead cables zetu na moshi wa masizi hivyo kupelekea kuathiri electrical contact kwenye catenary 😁.
Pia our standards ziko tofauti na zao kwenye height ya coupling na maeneo mengine ikiharibika itakuwa shida kuwavuta.
Afadhali hata ingekua SGR yenye tija labda modern one, wameenda kuletewa train za 100 yrs ago na wao wanashangilia 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…