joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hilo lilikua ni mapungufu katika uongozi wake, tabia ya kuzuia mambo kwa nguvu inapunguza uhuru wa kisiasa nchini, lakini kwa upande mwengine ulisaidia katika eneo la usalama wa nchi, alifanikiwa Sana katika kupunguza ujambazi nchini na kumaliza kwa haraka Sana tatizo la Kibiti.Kipindi jamaa yenu hata haki ya kuandamana haikuwepo! Kumbuka Viwete walichapwa viboko live!
Pia kwa kutumia tabia hiyo ya kufanya mambo kwa maguvu, allikua Kila wiki lazima akamate sio chini ya kilo 30 za dhahabu na madini mengine yakitoroshwa, zaidi ya kilo 800 za dhahabu zilikamatwa na kutaifishwa.
Ni matumaini ya watanzania kwamba, baada ya kifo chake, wale waarabu waliokua wanakamatwa na kilo za dhahabu katika gari zao, wameamua kumuenzi kwa kuacha kutorosha madini, maana hatusikii tena wakikamatwa.