ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,247
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Alaf wako comfortable kabisa kupanda kwenye malori wanaona sawa kabisaalaf uwaskie walivo kimbelembele wakitetea haki za binaadamu ilihali wao wanaishi kama wanyama











Haki za Binadamu zinapotezewa hivi hivi kuanzia kwenye hayo masufuria 
Yani mm nashangaa alaf anatoka kabisa anajisifu 😆😆 yani hata huyo mjapan alietengeza fuso anastaajabu na hii kenya kaaah utakuta wameekewa AC ya majumbani 👇👇👇👇👇 lock za milango ni za stoo na kufuli juuHaki za Binadamu zinapotezewa hivi hivi kuanzia kwenye hayo masufuria
![]()
kwa style hii kilimo cha Tanzania kinaenda kukipita mpaka kilimo cha South Africa
dollars millions 300 for irrigation is thousands of hectares for irrigation schemes
RR CullinunView attachment 2566622What’s on traffic nowadays View attachment 2566621
Mbona mna nchi ya kifala? Hiyo gari ikigongwa insurance ipi inalipa? Maana hata kama haijakuwa registered kuna namba maalum inapaswa kuwa nazo kuifanya kuwa road worthy!View attachment 2566622What’s on traffic nowadays View attachment 2566621
Kumbe ni SA nilifikiri unaongelea failed state ndio imetupita kwenye irrigation nilitaka kuhama nchiKiuzalishaji tumeshawapita kitambo as tunaproduce mazao mengi kwa wingi mkubwa kuliko wao na sector yetu ya kilimo inaajiri watu wengi kuliko yao. Kitu walicho mbele yetu ni utumiaji wa mbolea, pesticides, umwagiliaji na ulimaji wa kisasa.







Utateta hadi lini 🤣 mtu ananunua gari kama hio unafikiria anategemea insurance sana 😅Mbona mna nchi ya kifala? Hiyo gari ikigongwa insurance ipi inalipa? Maana hata kama haijakuwa registered kuna namba maalum inapaswa kuwa nazo kuifanya kuwa road worthy!
hao hawaoni ile state house yao inakaa fort jesusIt also looks better than both your Statehouses. What's your point?


Wivuuuu, sisi ndiyo taifa pekee linalojitegemea EA, tumejenga state house kwa pesa za ndani, tumejenga parliament kwa pesa za ndani nyie endeleeni kutumia majengo ya wakoloni hamna pesa.hao hawaoni ile state house yao inakaa fort jesus![]()
Badilisha picha msee kila siku hizo hizo tatu, tumewaacha mbali sn.Some of the streets in Nairobi really look nice day and night
View attachment 2566687View attachment 2566689
Na je kama ni IT?? 🤣🤣🤣 subiri iwekwe number alaf post budaaaView attachment 2566622What’s on traffic nowadays View attachment 2566621
Hio gari ni IT bro ingekua ni ya kwao ishawekwa number tayar 😆😆😆😆Mbona mna nchi ya kifala? Hiyo gari ikigongwa insurance ipi inalipa? Maana hata kama haijakuwa registered kuna namba maalum inapaswa kuwa nazo kuifanya kuwa road worthy!