Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna mtu atajua kama hapo ni Amboseli, so miaka nenda rudi mpk kiama utahitajika utaje jina ili mtu asijue kwamba hapo ni Arusha.
Kama wengine wanajua hapo ni Amboseli mbona unataka kila mtu awe ignorant kama wewe ambaye hajui?
 
Hawa ndio walimcheka Magufuli kumshirikisha Mungu katika kila jambo [emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20230318-181644.jpg
 
Mlima Kilimanjaro unafahamika duniani kwamba upo Tz, sasa wewe ukiweka picha kama hiyo bila maelezo mtu atajuwaje kama hapo si Tz.
Wekeni basi zulia picha ikipigwa Kenya Kilimanjaro isionekane. Picha imepigwa kwenye ardhi ya Kenya sasa sijui wewe unawashwa na nini!
 
Wekeni basi zulia picha ikipigwa Kenya Kilimanjaro isionekane. Picha imepigwa kwenye ardhi ya Kenya sasa sijui wewe unawashwa na nini!
Kwani mm nmekataa, nakuambia hivi iyo picha bila maelezo mtu atajua ni Tz, samahani lkn kama nimekukwaza.
 
Back
Top Bottom