Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
PRIMITIVE DANGANYIKA, Kenya ukifanya upuzi kama huu unashtakiwa na aggreviated assault. Kifungo ni 5 years+



PRIMITIVE DANGANYIKA, Kenya ukifanya upuzi kama huu unashtakiwa na aggreviated assault. Kifungo ni 5 years+
View attachment 2446612
Aliyekwambia Ni temporary Ni Nani au ndio kujifariji mwenyewe? 😂😂🤪😂.Do u really understand economics? ama wewe ni boya kama The best 007 😂 😂 😂 ., slow growth caused by external factors happens n is temporal, it affects all countries, Tanzania included, besides 5% growth ya GDP ya $116B, ni kubwa zaidi ya growth of 7% ya uchumi wenu? na mko wengi na taifa kubwa, najua uchumi wa Tanzania hautakua kwa hicho kiwango hivi karibuni, do u know huu mwaka uchumi wa Tanzania utakua kwa kiwango kipi? ungetafuta taarifa kuhusu Tanzania kisha ulinganishe, mko pabaya na taifa ni kubwa na mko wengi pia, mnahitaji ukuaji wa uchumi kwa kiwango cha 10% and above kuepuka umaskini mlio nao kwa kizazi hiki, la sivyo hamtoki kwa ufukara hadi dunia inaisha..,
![]()
Malisaaa!🤣🤣🤣You are an idiot. If what you sell to Kenya are considered as export then what are these figures for?
View attachment 2446545
Wacha hivo, unapigwaje na watchman? Yani ni kama uingie Airport upatane na The best 007 aluwashe kibare.🤣🤣Sasa suruali pia ni kitu ya kupigana mtu?😂😂
Waziri wenu huyo na waziri wa mama
😂😂😂Wacha hivo, unapigwaje na watchman? Yani ni kama uingie Airport upatane na The best 007 aluwashe kibare.🤣🤣
Also Dar Port 👇Dar Port is always disorganized na bado wanopokea 16M tonnes pekee. Sijui siku watafika level za Mombasa of doing 35M tonnes a year I'm sure their port will look like dumpsite.
View attachment 2446549View attachment 2446550
Japo mimi sio mtaalamu wa uchumi lakini sijaona kama kuna mahusiano ya kulipa deni la mkandarasi na kupaa kwa deni la taifaWaziri wenu huyo na waziri wa mama
Hapa pako busy hatariAlso Dar PortView attachment 2446693View attachment 2446694View attachment 2446695View attachment 2446696Note .. hii sio China ni DAR tu usistuke




Japo mimi sio mtaalamu wa uchumi lakini sijaona kama kuna mahusiano ya kulipa deni la mkandarasi na kupaa kwa deni la taifa



Sale of goods and services outside the customs cotrolled area such as EA custom union. Happy now bozoFirst what's export? Maybe I have talking to school dropout thinking that I'm arguing with a mature man. What's export?

Kumbe wajinga wako wengi Tz😂😂😂.Exports of goods and services outside the customs cotrolled area such as EA custom union. Happy now bozo
Sales within EA are categorised as internal trade.
Wewe elezea unavyojua wewe sio google utalemaza akili yako.
Mchina alikua anawapiga bakora mlimfunga miaka mingapi?PRIMITIVE DANGANYIKA, Kenya ukifanya upuzi kama huu unashtakiwa na aggreviated assault. Kifungo ni 5 years+
View attachment 2446612