Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Museums in Nairobi
slider-NMK.png
Uhuru-Gardens-Museum-8-1024x576.jpg
A1RjoFjdam0LiXdJ_J3SQ5lh6YGnwatBFY6JX_BC53QojNG5UvHloxarJlUzqhKzs1zWIdp6rxuaOe54GKKZeecZJB-EbW3L8PeIxeO4e2c=s750
Alafu Kuna fala anasema ati museum ya Dar imeshinda ya Nairobi and Addis Ababa juu Iko na compound kubwa😂😂🤣
 
Huyu jamaa ndio maana alidownload hela akasema ni zake. Halafu hata aibu haoni kwenye dunia hii ya AI, kuna algorithms za kusearch content(kama unafanya plagiarism ya either audio, video, image au text) ukiiba kwenye source nyingine halafu unaumbuka. Inaonesha jamaa sio smart

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakutana tuone content zilizoandikwa.
 
🤣🤣🤣 Hizo picha ni za Zamani mno kipindi ambacho tulikua na ushamba nazo, waulize wapuuzi wenzako waliowahi kuzipanda hiv karibuni kama waliwahi kushudia hiyo
Mbona Tanzania inapenda kununua second items🤣🤣😂. Ndege second hand, trains Second hand and now BRT buses pia ni second hand 🤣🤣🤣😂

 
Alafu Kuna fala anasema ati museum ya Dar imeshinda ya Nairobi and Addis Ababa juu Iko na compound kubwa😂😂🤣
Haina compand kubwa kuliko ya Nairobi. Hawa majamaa ni waongo sana.
Dar es Salaam Museum 42 450 sq.m
Screenshot 2022-12-09 000249.jpg



Nairobi National Museum 192,872 sq.m
Screenshot 2022-12-09 000249.jpg


Uhuru Gardens Museum 313,339 sq.m
Screenshot 2022-12-09 000249.jpg

You can see both Nairobi Museums are bigger halafu kao hakana majengo.
 
Mbona Tanzania inapenda kununua second items🤣🤣😂. Ndege second hand, trains Second hand and now BRT buses pia ni second hand 🤣🤣🤣😂


🤣🤣🤣🤣 Umeanza kuokota takataka kujifariji.. huwezi badili vilivyomo ground mzee
 
Inabeba watu wangapi Kwa siku? Inaingiza pesa kiasi gani Kwa siku ili iwe juu kuliko BRT ya dar!?

Makalio wewe!!!
Your BRT is making losses year in year out. Alafu kumbe it's being run by a foreigner 🤣🤣😂. From next year Jan that operator will start bringing their own buses, sio zile coffins mko nazo😂😂
 
Huyu jamaa ndio maana alidownload hela akasema ni zake. Halafu hata aibu haoni kwenye dunia hii ya AI, kuna algorithms za kusearch content(kama unafanya plagiarism ya either audio, video, image au text) ukiiba kwenye source nyingine halafu unaumbuka. Inaonesha jamaa sio smart

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani akili hana ata kidogo,
Yani anachukua picha ya uozo wa airport yao, anakuja kujitapa na ujinga kama huo!

Dalili ya kwanza kujua airport ni mbovu ni foleni! Sema simlaumu sijui kama kishawahi kuvuka hata boda ya namanga
 
Your BRT is making losses year in year out. Alafu kumbe it's being run by a foreigner 🤣🤣😂. From next year Jan that operator will start bringing their own buses, sio zile coffins mko nazo😂😂
🤣🤣🤣 Unalazimisha.? Una data ya BRT ikileta loss.?
 
Yani akili hana ata kidogo,
Yani anachukua picha ya uozo wa airport yao, anakuja kujitapa na ujinga kama huo!

Dalili ya kwanza kujua airport ni mbovu ni foleni! Sema simlaumu sijui kama kishawahi kuvuka hata boda ya namanga
What JKIA terminal 1A serves in a year is more than what entire JNIA does in the same year. Kwanza wait until that day JNIA itahudumia watu 2.6M in a year alafu urudi tuongee, sawa?
 
🤣🤣🤣 Unalazimisha.? Una data ya BRT ikileta loss.?
Your BRT is minting losses like nobody's business.

Screenshot_20220530-122405.png



Revenue
Your BRT makes Ksh 6.25M per day. That means it does around Ksh 367,647 per hour when it operates from 0500h to 2200h. (17hrs)

Let's assume the total number of buses used in your BRT is 200, that means that each bus make around Ksh 1,838 per hour. (376,647÷200)

Gas Expense
How much gas does each bus use per km? Buses usually use around 1L for 3KM. Let's assume your buses does a minimum of 50km in a per hour. That will be around 17L of diesel needed.

What's the price of diesel in Tanzania? I'm sure it's around ksh 160. So the total amount one bus will consume is 160×16 = 2,720


Profit/Loss
If you does that you will find that your BRT is running at a loss of 882 per bus per hour. 1,838 - 2,720.

In a day the loss will be 14,994. (-882×17)

In a year the loss will be ksh 5,472,810. (-14,994×365)

The loss of all the 200 buses operating will be Ksh 1,094,562,000. (-5,472,810×200).

Remember I have not added salaries and other expenses like bus repair and management.
 
Back
Top Bottom