Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hako kajamaa hakajui chochote kuhusiana na magari ye kanajua kuongea uongo tu 🤣🤣🤣
Pole sana, najua kinakuuma ati magari za Tanzania zinaundwa Kenya.

Latest by LSHS.

20220919_151840.jpg
20220919_151837.jpg
20220919_151831.jpg
20220919_151834.jpg
 
Usifanye nikuletee makampuni zaidi ya kumi that get their buses from Kenya.
🤣🤣🤣 Tz iko na kampuni 100+ ulikua uki claim kwamba 80% of our buses ar done in kenya.. sahii unasema tena ni kampuni zaidi ya kumi ambapo kampuni kumi si hata 10% ya kampuni 100+ 🤣🤣🤣.. mpumbavu sana wewe
 
🤣🤣🤣 Tz iko na kampuni 100+ ulikua uki claim kwamba 80% of our buses at done in kenya.. sahii u asema tena ni kampuni zaidi ya kumi ambo kampuni kumi si hata 10% ya kampuni 100+ 🤣🤣🤣.. mpumbavu sana wewe
Do you understand the word "zaidi" ? Nikisema zaidi ya kumi meaning the number can even reach one million. Kwanza I'm doubting kama ulienda shule kweli cause you can't grasp simple things like "more than".
 
Do you understand the word "zaidi" ? Nikisema zaidi ya kumi meaning the number can even reach one million. Kwanza I'm doubting kama ulienda shule kweli cause you can't grasp simple things like "more than".
Hold on.. 🤣🤣🤣 Kwahyo ni kampuni ngapi, heb taja exactly namba alafu twende ground 🤣🤣
 
Jifunze kuandika "we hare to educate you ndio nini"?

Exact number ✔️
Exactly number ❌

Go back to school please.
Kichapo unachokula 🤣🤣🤣 hadi Unatafuta makosa ya kiuandishi 🤣🤣🤣.. nasubir ulete kampuni kumi za mabasi kutoka Tz zenye zinanua mabasi from your assemblers.. niko palee nasubir
 
Back
Top Bottom