Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

go through that 'Jamal' guy's timeline.... you will realise that he has never been serious even for a second
he is depicting the characteristics of many kenyans on twitter.[emoji23] [emoji23]
 
wakenya hamuishiwi vituko...huwa mnatuonyesha picha za magari ya kifahari yanayoonekana katika barabara za nairobi,kumbe mengine ni magari fake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
5345b406367ebefa451b38ebdcf17c1d.jpg
c3597a3bdc1583d3a516e58f060f25ba.jpg
39f6de5874958ced864b72bc33f9ee5a.jpg
f4975c08f401b8ec42ea32f3b0efb78a.jpg
7df9736de5e4f11a818208f30bf3672d.jpg
4ed35b26d99bc6ce883cdb7561a768d0.jpg
 
Uo ndo ukweli ata mimi niko apa dsm amna kitu apa pumba tupu,usafi ziro iyo migorofa yenyewe si umeona ilivyorundamana kama taka,unaweza compare na za nairobi?,waambie tuendelee na hapa kazi tu za shambani kimuonekano mji ni sifuri.
 
Uo ndo ukweli ata mimi niko apa dsm amna kitu apa pumba tupu,usafi ziro iyo migorofa yenyewe si umeona ilivyorundamana kama taka,unaweza compare na za nairobi?,waambie tuendelee na hapa kazi tu za shambani kimuonekano mji ni sifuri.
emoji23.png
emoji23.png
heri wewe umeweka ushabik kando na kusema ukweli mkuu...wengi hapa wana la kujifunza toka kwako
 
Uo ndo ukweli ata mimi niko apa dsm amna kitu apa pumba tupu,usafi ziro iyo migorofa yenyewe si umeona ilivyorundamana kama taka,unaweza compare na za nairobi?,waambie tuendelee na hapa kazi tu za shambani kimuonekano mji ni sifuri.
kajifunze kuongea na kuandika ndio uje hapa . dar hatuna vilaza kama wew
apa=hapa
uo=huo
iyo=hiyo
migorofa=magorofa
ilivyorundamana=ilivyo rundikana
 
Bongo sifuri miji imekaa ovyo bila mpangilio mvua zikinyesha ni kuchafu hamna kitu acha kuwasumbua wakenya ni wakubwa zetu.

Uo ndo ukweli ata mimi niko apa dsm amna kitu apa pumba tupu,usafi ziro iyo migorofa yenyewe si umeona ilivyorundamana kama taka,unaweza compare na za nairobi?,waambie tuendelee na hapa kazi tu za shambani kimuonekano mji ni sifuri.
some of us know the reason why you are are....you are looking for a kenyan boyfriend,nothing else.[emoji23] [emoji23]
 
kajifunze kuongea na kuandika ndio uje hapa . dar hatuna vilaza kama wew
apa=hapa
uo=huo
iyo=hiyo
migorofa=magorofa
ilivyorundamana=ilivyo rundikana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila nadhani nimeeleweka mkuu
 
she is searching of a kenyan boyfriend..hopping to get one from this thread...i think you and her can make a good couple.... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
Bongo mvua zikinyesha ni kuchafu
we binti,ni nani alikwambia nairobi mvua ikinyesha kunapendeza?.

tatizo lako akili yako yote umeilekeza katika kutafuta boyfriend/bwana wa kikenya,hata huitumii katika kufanya utafiti.

nadhani hujawahi kuona vile nairobi "inakuwanga" kukinyesha.
embu tazama hii[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
80d8bfb629a77f2092274ccd4c31a4c9.jpg
2a3318ccf54b46bf2bace8f008faa7a5.jpg
8a6747bca3e71a87885c77d353ebac12.jpg
72bc62bf854cc53a054440b2b73df6d6.jpg
a048fe8e9738f8b579ef5a80ce1952ae.jpg
87a0442f90cac49853582223b91d4320.jpg
965fdec14d588f880d74b0374b07050a.jpg
e2f1e53ac30d91bbb46c1a6563ce698c.jpg
a81345ff5edb4ff0d0875c9298282d50.jpg
e4207b65d35ed848832ce9265adeb8ce.jpg
bd7830b2d89091c9600c4671a1335b6b.jpg
b8e3d62c93b066a52c29b0e47e5febbe.jpg
353bab520d7ec731e12ac79702b52063.jpg
a451c512d8f907a5c3c22f6dadb79f64.jpg
e2fa3b18c3357667315b9245f1a674be.jpg
55bb7dfa87f00937ba124f0b7efc68e0.jpg
cf155011404a77d3f14cec60a3ee6eb5.jpg
0e57ead398a6d9bc5a1d1f9b78f88d0b.jpg
064269761b9bfbe1357ac06c459e304c.jpg
 
mmekosea sana kuleta picha zinazohusu issue za dini za watu kwa hii thread....kuna watu wapo very sensitive na dini zao.watakapo anza chafua hii thread kwa matusi tusije tukalaumiana.

tufanye utani wa aina yoyote lakini sio dini za watu.

nimeongea kwa nia njema tu na sio kwa ubaya.
Achawaje na matusi wale wanamutusi huu ni ukweli watu kama hawa ndio huawanaaibisha neno la mungu
 
Back
Top Bottom