Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakenya hamuishiwi vituko...huwa mnatuonyesha picha za magari ya kifahari yanayoonekana katika barabara za nairobi,kumbe mengine ni magari fake.


5345b406367ebefa451b38ebdcf17c1d.jpg
c3597a3bdc1583d3a516e58f060f25ba.jpg
39f6de5874958ced864b72bc33f9ee5a.jpg
f4975c08f401b8ec42ea32f3b0efb78a.jpg
7df9736de5e4f11a818208f30bf3672d.jpg
4ed35b26d99bc6ce883cdb7561a768d0.jpg
 
Uo ndo ukweli ata mimi niko apa dsm amna kitu apa pumba tupu,usafi ziro iyo migorofa yenyewe si umeona ilivyorundamana kama taka,unaweza compare na za nairobi?,waambie tuendelee na hapa kazi tu za shambani kimuonekano mji ni sifuri.
 
Uo ndo ukweli ata mimi niko apa dsm amna kitu apa pumba tupu,usafi ziro iyo migorofa yenyewe si umeona ilivyorundamana kama taka,unaweza compare na za nairobi?,waambie tuendelee na hapa kazi tu za shambani kimuonekano mji ni sifuri.
emoji23.png
emoji23.png
heri wewe umeweka ushabik kando na kusema ukweli mkuu...wengi hapa wana la kujifunza toka kwako
 
Uo ndo ukweli ata mimi niko apa dsm amna kitu apa pumba tupu,usafi ziro iyo migorofa yenyewe si umeona ilivyorundamana kama taka,unaweza compare na za nairobi?,waambie tuendelee na hapa kazi tu za shambani kimuonekano mji ni sifuri.
kajifunze kuongea na kuandika ndio uje hapa . dar hatuna vilaza kama wew
apa=hapa
uo=huo
iyo=hiyo
migorofa=magorofa
ilivyorundamana=ilivyo rundikana
 
Bongo sifuri miji imekaa ovyo bila mpangilio mvua zikinyesha ni kuchafu hamna kitu acha kuwasumbua wakenya ni wakubwa zetu.

Uo ndo ukweli ata mimi niko apa dsm amna kitu apa pumba tupu,usafi ziro iyo migorofa yenyewe si umeona ilivyorundamana kama taka,unaweza compare na za nairobi?,waambie tuendelee na hapa kazi tu za shambani kimuonekano mji ni sifuri.
some of us know the reason why you are are....you are looking for a kenyan boyfriend,nothing else.
 
she is searching of a kenyan boyfriend..hopping to get one from this thread...i think you and her can make a good couple....

 
mmekosea sana kuleta picha zinazohusu issue za dini za watu kwa hii thread....kuna watu wapo very sensitive na dini zao.watakapo anza chafua hii thread kwa matusi tusije tukalaumiana.

tufanye utani wa aina yoyote lakini sio dini za watu.

nimeongea kwa nia njema tu na sio kwa ubaya.
Achawaje na matusi wale wanamutusi huu ni ukweli watu kama hawa ndio huawanaaibisha neno la mungu
 
Back
Top Bottom