Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wabongo wote wapepanga laini kuenda SA ku shoot video...bure kabisa!! inaonyesha hata hamuipendi nchi yenu...kila kitu SA...ipendeni chi yenu ata iwe mbovu namna gani...


wanaenda kuimbia bafuni south Africa hahaha. .....kwani hakuna Jacuzzi hapo upanga
 
wanaenda kuimbia bafuni south Africa hahaha. .....kwani hakuna Jacuzzi hapo upanga
just imagine!!! wote wamekimbia SA...kisha wapo hapa wanaimba eti Tanzania inaweza compete na Nairobi...wakati wote wametoroka hata huo mji wao...i like Kenyan artists...buy Kenya build Kenya...we have our own music producers..we dont need to take advantage of other people's work...
 
na ndio maana ata Coke Studio Africa walikuja Kenya na South Africa...watu wanaojiamini...si watu wa kupanga laini ndefu kuingia Afrika Kusini kana kwamba kwao hamna music producers ama hoteli wanazoeza waka shoot video nzuri...
 
lyrical and content wise,khaligraph jones ni mwana hiphop wa kawaida sana.hana upekee wowote wa kuwatisha maMCs wa kitanzania.

tz ina ina hazina kubwa ya maMCs/hip hop artist than any country in EA.nikiwataja hapa sitomaliza leo.

kitu pekee ninacho mpendea khaligraph ni uwezo wake wa ku-rap kwa kingereza cha wamarekani weusi.kwa hilo kajitahidi sana.sidhani kama anampinzani hapo kenya.

nilipokuwa secondary nilikuwa navutiwa sana na aina ya kingereza kinacho zungumzwa na wamarekani weusi.
 
Victoria Kimani...our own Kenyan singer making it big in Nigeria...she has a Nigeria boyfrind...otherwise she would be shooting her videos in Kenya
 


we are used to your blind patriotism syndrome of calling green. ..
yellow .. . [HASHTAG]#RespectheOGz[/HASHTAG]
 
kijana wetu diamond plutnumz(simba),apata mapokezi makubwa ya kihistoria nchini mozambique.

wanamuziki wa kenya wataishia tu kuota ndoto ya kupata mapokezi makubwa kama haya wanapo enda kutumbuiza katika nchi za ugenini.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…