7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,067
Kha![emoji849][emoji849][emoji849]On ground [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2270325
Kha![emoji849][emoji849][emoji849]On ground [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2270325
Maana ipi huru hiyo? Twyford Kisumu inahusiana vp na Twyford Tanzania kama si zote za Mchina?naelewa hilo na nimeipost hiyo kwa maana huru
Kuna tetesi kwamba wamerudi kuna siku niliongea na mtu wa huko tena mzawa anasema wako wengi, wengine wana vitambulisho vya NIDA,TIN,Wanacharaza Kinyambo hataree, waingie deep maana wengine wana mpaka chanjo ya ndui means wapo kitambo watrace familia hadi kizazi cha tatu maana wako royal na nchi yao,so wanachimba chumvi vibaya mno, sasa wa nini bana.[emoji52][emoji52][emoji52]Wamerudi?
Wako loyal au royal na nchi yao?Kuna tetesi kwamba wamerudi kuna siku niliongea na mtu wa huko tena mzawa anasema wako wengi, wengine wana vitambulisho vya NIDA,TIN,Wanacharaza Kinyambo hataree, waingie deep maana wengine wana mpaka chanjo ya ndui means wapo kitambo watrace familia hadi kizazi cha tatu maana wako royal na nchi yao,so wanachimba chumvi vibaya mno, sasa wa nini bana.[emoji52][emoji52][emoji52]
Oooh! Sorry boss,typing error ni Loyal.Mawazo yangu yako kwenye Royal tour[emoji16][emoji16][emoji16]Wako loyal au royal na nchi yao?
Energy security in a developed world is a very pertinent issue climate protection comes second. In Africa we have not yet attained energy security yet some of us with colonized minds keep on dancing to colonial tunes as afar as Energy sources are concerned.cha ajabu wana mazingira wapo kimya ila likija suala la EACOP kelele mob! Hypocrisy ya hawa watu ni level nyingine!
Does it consider deaths due to starvation?What's the definition of human development index?
It considers life expectancy
Hiyo picha ilichukuliwa kabla ya hiyo barabara kufunguliwa rasmi kwa umma. And it's true, it might be a government vehicle and it could be doing an inspection of the road.hapo juu,nadhani hilo gari Moja linalopita ni la serikali 😀😂Kajamba nani wapo chini
Hizi picha umeweka umezitoa mtandaoni na ni picha za siku ya uzinduzi, gari zilikuwa zinapita bure, weka picha ya leo uliyopiga kwa mkono wako, kwnn ukweli huwa unakuumiza sana?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo picha ilichukuliwa kabla ya hiyo barabara kufunguliwa rasmi kwa umma. And it's true, it might be a government vehicle and it could be doing an inspection of the road.
What do you have to say about these images of the same expressway?
View attachment 2270967View attachment 2270968View attachment 2270969View attachment 2270970View attachment 2270971View attachment 2270972
Picha mpya hizi hapa [emoji116][emoji116]Hiyo picha ilichukuliwa kabla ya hiyo barabara kufunguliwa rasmi kwa umma. And it's true, it might be a government vehicle and it could be doing an inspection of the road.
What do you have to say about these images of the same expressway?
View attachment 2270967View attachment 2270968View attachment 2270969View attachment 2270970View attachment 2270971View attachment 2270972
Ubaya unabishana na mimi na wewe upo Tandale. Ni nani alikuambia kwamba siku ya uzinduzi gari zilikuwa zinapita bure? Ama ulisoma wapi? Can you prove your claims bongolala?Hizi picha umeweka umezitoa mtandaoni na ni picha za siku ya uzinduzi, gari zilikuwa zinapita bure, weka picha ya leo uliyopiga kwa mkono wako, kwnn ukweli huwa unakuumiza sana?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mm nshakuambia hiyo ilikuwa siku ya uzinduzi na gari zilipita bure, sasa kazi kwako wewe unioneshe risiti kwamba gari zililipa.Ubaya unabishana na mimi na wewe upo Tandale. Ni nani alikuambia kwamba siku ya uzinduzi gari zilikuwa zinapita bure? Ama ulisoma wapi? Can you prove your claims bongolala?
Can you prove your claims bongolala kwamba magari zilikuwa zinapita bure? Were you in Nairobi hiyo siku na ukashuhudia ama ulikuwa tu zako Tandale kwenye dreamhouse yako yenye bati iliyochakaa?Mm nshakuambia hiyo ilikuwa siku ya uzinduzi na gari zilipita bure, sasa kazi kwako wewe unioneshe risiti kwamba gari zililipa.
Proof yangu hii hapa baada ya tozo kuwekwa 90% ya gari zilipita chini mpk leo barabara ni nyeupe, ukibisha weka risiti ya gari yako kupita na hela cku ya uzinduzi, tazama hali ilivyo baada ya tozo kuwekwa, mpk tunavyoongea hali iko hivi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Can you prove your claims bongolala kwamba magari zilikuwa zinapita bure? Were you in Nairobi hiyo siku na ukashuhudia ama ulikuwa tu zako Tandale kwenye dreamhouse yako yenye bati iliyochakaa?