kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
kaka,Mkuu Kadoda ushawahi pata view ya hiyo project kwa kutokea maeneo ya ''kijichi mgeni nani'', i wish uione, ni bonge moja la view asee, yani unakua kwa juu kidogo then huo mradi upo kwa chini ng'ambo ya pili, i was there last weekend, dar hii sio ya miaka ile asee.
nilitembelea leo maeneo hayo ya kijichi-mgeninani,hakika mambo ni moto moto sana.
nilipigwa na butwaa kwa munekano mzuri niliouona wa apartment za nssf.
sipati picha daraja likikamilika....itakuwa ndio shortcut yangu ya kwenda kula bata kigamboni nikitokea tabata.