Zuwenna
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,203
- 4,111
Siyo kwa ukimya huoSiyo kwamba Hatupo humu
tunapitisha macho tu
maana Jf Ndio nyumbani
sema tumepunguza tuachie wengine
naona uki Like tu no comment wala picha
Au Bando!!
Siyo kwa ukimya huoSiyo kwamba Hatupo humu
tunapitisha macho tu
maana Jf Ndio nyumbani
sema tumepunguza tuachie wengine
Kuishiwa Bando kwangu msiba hilo halitakuja tokeaSiyo kwa ukimya huo
naona uki Like tu no comment wala picha
Au Bando!!
Haya sasa nimadharau kwa Watanzania
Umesha wahi kutumia Mitandao yakenya!!?Kuishiwa Bando kwangu msiba hilo halitakuja tokea
Ukiwa Tanzania full raha Mb kibao
Nenda Kenya hahaha
Siyo kuwahi kutumia mpaka Sim kadi ninazoUmesha wahi kutumia Mitandao yakenya!!?
Kuna utofauti gani ?
ni aibu sana kwa watu wa DC kwenda kujifunza jambo fulani zuri kwa watu LDC....aibu aibu....nakumbuka miaka kadhaa iliyopita wakati tukiwa katika plan ya kujenga BRT,tulituma delegation south america katika nchi za brazil na Mexico.Lol....wapande pia waende tandale kwa mtogole na mwananyamala kwa kopa uswazini
Sent using Jamii Forums mobile app
Waache walete madharau ilaHaya sasa nimadharau kwa Watanzania
wengine tupo tukiendekea kuwakilisha na kunyorosha hawa nyang'au....

kisu cha ngariba kimekuingia mahala pake...

"Bando" ni nini jameni......Siyo kwa ukimya huo
naona uki Like tu no comment wala picha
Au Bando!!
Kustudy si mbaya. But I would prefer light rail. Na BRT si big deal. Worldclass cities kama London, Nairobi, Tokyo will introduce 2020,
kustudy kwa LDC?!!!....Kustudy si mbaya. But I would prefer light rail. Na BRT si big deal. Worldclass cities kama London, Nairobi, Tokyo will introduce 2020,

Kustudy si mbaya. But I would prefer light rail. Na BRT si big deal. Worldclass cities kama London, Nairobi, Tokyo will introduce 2020,
Yeah to see if it can work kwa middle income country kama Kenyakustudy kwa LDC?!!!....![]()
![]()
![]()
aibu DC kustudy kwa LDC...Yeah to see if it can work kwa middle income country kama Kenya
.Yeah, ata mimi sioni hilo likifanyika. Naona uber ni enough for Kenyansaibu DC kustudy kwa LDC...![]()
![]()
.
btw hao wakenya kumi mliowatuma waje dar city kujifunza kuhusu BRT,wamekuja tu kutalii na ku-enjoy hali nzuri ya hewa since dar is more attractive and unique than nai-robbery.
ukweli ni kwamba BRT haitakuja fanikiwa nairobi mpaka yesu anarudi na sababu kubwa ni ardhi.