Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar-es-Salaam-Background-.jpg
 
Bila hizo traffic ingekua worse then ata kukue na Brt personal vehicles bado ni mingi na ndio maana barabara zina expandiwa kila kukicha...then ata Beijing wanahizo zote hadi brt but traffic ni worse ya nai

sent from iPhone 7
hauwezi fananisha nairobi na beijing...

kiukweli government yenu imezingua tatizo hamkuzi mji mnajenga vitu pasipo plan yenye mtazamo mnajenga vitu kama urembo baada yakufanya solved angalau yenye solution......mbeleni mtapata sana tabu....fly over 4 nothing

...bila kusahau kwenye hizo fly over 30 mlizonazo hapo nairobi nahitaji picha za fly over 5 tu namajina yake maana unachelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hauwezi fananisha nairobi na beijing...

kiukweli government yenu imezingua tatizo hamkuzi mji mnajenga vitu pasipo plan yenye mtazamo mnajenga vitu kama urembo baada yakufanya solved angalau yenye solution......mbeleni mtapata sana tabu....fly over 4 nothing

...bila kusahau kwenye hizo fly over 30 mlizonazo hapo nairobi nahitaji picha za fly over 5 tu namajina yake maana unachelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
kashawatia kamba tayari😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Nairobi mnahitaji makofi,mlianza kununua nyama wakati ndani hakuna Mchele wala unga...flyover zote hizo traffic kubwa iko palepale what is the use?
Nyie ni manyang'au Angalia tumeshaweza kupunguza foleni na mradi wa brt then tunaenda kwenye flyover na interchanges nadhani nyie ni wale mnaokimbia vizuri lakini nje ya mstari

Sent using Jamii Forums mobile app
hawa wanachukulia zile ni urembo popote zinawekwa tu.....wakenya dhida kweli serikali zao zimejua pakuwakamata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stage za matatu zitatolewa cbd then light trains zitabeba wase hadi tao...iyo ni plan poa

sent from iPhone 7
acha utoto collo hamuwezi kuwa na light train zitakazo kidhi mahitaji ya raia wanaofanya movement town hata ikifika miaka trillion ni kitu ambacho hakiwezekani ...hata mataifa yalioendelea hakuna hiyo kitu hivyo ukisema kama mtatoa matatu na mtumie train tu hapo unatuzingua...Mzee wa iphone7

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Flyover si kitu ya kujivunia....2017
Ni aibu karne hii
sisi hatujivunii fly over wala chochote kwa sasa ...hiyo ni kauli yako.....bado tunasafari....sisi si watu wakujivunia vitu vya nakshi kama nyie

tutakachojivunia ni pale uchumi wetu ukiwa imara,ajira n.k hizo vitu za fly over ni kawaida tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sisi hatujivunii fly over wala chochote kwa sasa ...hiyo ni kauli yako.....bado tunasafari....sisi si watu wakujivunia vitu vya nakshi kama nyie

tutakachojivunia ni pale uchumi wetu ukiwa imara,ajira n.k hizo vitu za fly over ni kawaida tu....

Sent using Jamii Forums mobile app
sisi tutajivunia pale ikifika wakati tupo saw na NY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom