Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ndo maana mnachoma moto Gikomba market kila siku sio?
 
hahahahahahha kunyaland ni mbumbumbu kweli, na ndiyo maana mnatawaliwa na familia mbili, sophiscated mnakufa njaa, mnauwana kwa sababu za kikabila, mnalala kwenye slums, arable land yote inashikiliwa na watawala na wakunya ni manamba na tenants, poor nyangau
 
Mtanzania aache eden atake jangwani? Jiulize kwanini mna diaspora wengi na wanaongoza remittance kuliko kuliko export yoyote kunyaland, means your country is cursed and barren
 
Wachana na huu ujinga wako, yani niache kuchagua nchi ya asali niende nikaishi kwenye maconterna kama mwizi,niache nchi yabukijani niende nikafe njaa kwenye jangwa?, niache nchi yenye mamilionare wengi niende nchi ya GDP ushuzi ebu wacha kuota, mm nataka nifanikiwe siwezi kwenda kuishi kibera kisha nikipata ela kujenga kijijini nataka nijenge mjini, na pia kwenye shina langu ...ila sio kwakulazimishwa
, unakuta umezaliwa kwenye kakabila kadogo apo kunya basi ndio ujue ww ni mfungwa wa maisha, yani makabila dhaifu kenya yote ni wafungwa wa yale makubwa mawili siujinga huuu
 
CC: nairobae wiki ya ngapi Wamarekani "wenyu" wapo Tanzania? The family has completely forgot Kenya na hapo utakuta walipewa negative opinion juu ya Tanzania walipokuwa Kunyaland! I think u now know why Tanzania mints waay more money than Kenya about 4 X when it comes to tourism earnings! Next time u better shut up!!

Meanwhile Air Tanzania should study the trendy keenly and see how it can benefit out of these highly paying tourists that love Tanzania!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…