Wakati Marais wengine kama Mkikuyu UK wanapanda ndege kwenda ulaya Kupiga selfie na Kina trump na kushare Instagram ili kupata Likes nyingi zaidi, Museven na JPM hawana muda wa kwenda ulaya badala yake museveni unasafiri kukutana na Rais mchapakazi JPM kuzindua mradi wa mabilioni ambao nchi Kama Kenya haijawahi shuhudia FDI kubwa namna hii tangu kuumbwa kwake..
Huu mradi utatengeneza Ajira za Kumwaga kwa Vijana wetu, Utafufua Bandari ya Tanga, utatransform business atmosphere ya Tanga completely, na kubadili kabisa mwelekeo wa uchumi Wa Uganda.
Hapo ukiongeza na Ile East Africa's Largest Cement Factory naona Tanga inaipiku Mombasa mazima.
Ni Bahati Kuzaliwa Tanzania.