Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1642875675915.png
 
Sioni sababu kwanini alijenga jengo zima na hakutenga fedha za majokofu matokeo yake zaidi ya mwaka umepita machinjio hayatumiki na yale ya zamani wanaotumia hawalipi tena kwa amri yake ya mabavu! Kwangu mimi Ni uzembe au kuamuru nje ya sheria za nchi Halmashauri za Mwanza kusimamia ujenzi wa international Airport na wakati kuna taasisi za kisheria kama TAA ambazo zitahakikisha uwanja unajengwa katika viwango! Matokeo yake ndo tunayaona saa hii hamna accountability!
Sikia hii chupiii komora096 njoo uchukue hii flytoilet ukatupe kwa slum kibera maana huwa unaitetea kwa upumbaavu ,
Nakumbuka kuna mjambiani mmoja alikashifu kuwa JPM kajenga masoko polini ....yeye aliona ni polini kwa sababu ya visioni yake kuwa ndogo watu majiniasi wanaona mjini kutokana na vision zao kuwa great
 
Tukiamua tuna rebase Kama wafanyavyo Kenya.Tz GDP ikiwa rebase itakua habari nyingine.Hatuhangaiki Sana kupandishi GDP ili kutanua wigo wa mikopo Kama afanyavyo Kenya ,Nigeria
Tuki...tuta......language of losers......hata mfanye nini itabaki tu at 60's
 
Back
Top Bottom