Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Prince Chapoo
hizo zote amehara hapo hakuna dar hata moja so amekuwa disqualified read the thread title
 
kaduda... umeamua mbaya mbaya... hizi picha ni nzuri kuliko zile za matoke na omenà
hizi picha nilishawahi kuzi-post hapa a few days ago.nimeamua kuzi-repost baada ya wanjala kutuma picha zake za masai mara.
nikuona isiwe tabu acha nilirudi kwenye archive yangu.

BTW za omena na matoke zipo tele.ukitaka naweza nika-repost kwa ajiri yako....it's so simple, like counting one two three.
 
Tallest tree in Africa in Kilimanjaro
FB_IMG_1499837141690.jpg
 
acha wivu....tulishawapa go ahead ya kutuma picha za miji yote ya kenya vs dar aka the giant.
wivu ya nini??? badala mutume infrastructure, munatuma milima na mabonde... estates na apartments, munatuma omena na mutura.... sasa munataka nini exactly???
 
wivu ya nini??? badala mutume infrastruture, munatuma milima na mabonde... estates na apartments, munatuma omena na mutura.... sasa munataka nini exactly???
Kiswahili cha mwendokasi
Wivu ya nini=wivu wa nini
Mutume=mtume
Munataka=mnataka
Kweli wakenya wa pwani mnajua kiswahili
 
collo kalala...kazunguka kutwa mzima mitaa ya cbd na bahasha mkononi akisaka job bila matokeo.he must be very tired.
dah leo umenivunja mbavu mpaka basi COLLO kazurura sana na bahasha pale city garden park yo upper hill na bahasha zake mixer tai na suti jioni ikifika anakbilia kibera area
 
Back
Top Bottom