Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tutakuletea breathtaking Photos of kericho Limuru or Nyeri tea zones ujichukie
 
tutakuletea breathtaking Photos of kericho Limuru or Nyeri tea zones ujichukie
leteni....LDC ni kubwa sana....ina maeneo mengi sana yenye mvuto wa asili.

picha za mashamba ya chai yanayomilikiwa na mafisadi wa kenya
waliopora ardhi ya wakenya masikinj,haziwezi itisha LDC.
 
we endelea na revision kama hizo nyumba ni zako sawa......


watanzania semeni tu neno gated communities, estates na apartments ni geni kwenu. Huwa hamna picha za kujibu sasa ni visingizio tu....hahaha. Mtaelewa tu issue ya mortgage mkitoka LDC
 
leteni....LDC ni kubwa sana....ina maeneo mengi sana yenye mvuto wa asili.

picha za mashamba ya chai yanayomiliwa na mafisadi wa kenya,haziwezi itisha LDC.


nataka Information ya tea export and production Worldwide facts....hahaha
 
leteni....LDC ni kubwa sana....ina maeneo mengi sana yenye mvuto wa asili.

picha za mashamba ya chai yanayomilikiwa na mafisadi wa kenya
waliopora ardhi ya wakenya masikinj,haziwezi itisha LDC.



visingizio hukosangi.........wale wakulima wa chai ambao hulipwa tea bonuses si ni normal citizens......SMH
 
 
Kijana unaishi sebleni kwa wazazi , wa mwisho kulala wa kwanza kuamka utakuwa na mawazo ya kujenga kweli , na ardhi hamna

spensa_e
vijana wengi wa nairobi kutokana na ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira,wamepanga bedsitter room katika yale maeneo ya duni ya nairobi.

kwa wale wasioelewa kuhusu bedsitter,ni kajichumba flani hivi kadogo ambapo jiko na choo hupatikani eneo moja.

kutokana mazingira ya bedsitter room,
harufu ya kinyesi toka chooni mara nyingi huenea mpaka jikoni.

msishangae kwanini vijana wa kikenya wana kuwa na ujinga ujinga kichwani,ni kwasababu mda mwingi wanavuta harufu ya kinyesi inayotakana na mazingira ya bedsitter wanayoishi.

 


 

 
bado sana aisee wakenya inabidi mjipange nachokushauri endelea kupost zile picha za kota ......maana ukiingia huku unapotea


Mtu wa uswahili house kama wewe akae pembeni tu ama leta picha ya kwako au kwenu .....mna visingizio vya kijinga tu na kadoda anapost nyumba za one bedroom tu hapa
 

 
watanzania semeni tu neno gated communities, estates na apartments ni geni kwenu. Huwa hamna picha za kujibu sasa ni visingizio tu....hahaha. Mtaelewa tu issue ya mortgage mkitoka LDC
Tangu niko kindergaten nilikuwa napita gated community kadhaa nikielekea shule. Nikutajie chache tu valhala village,baobab village,canada village(inavunjwa kupisha new project),finnish village,tipper village(hii tumewazawadia UAE wamejenga ubalozi wao hapo).
Apartments ndio wala siwezi hata kuzungumzia tutajaza thread hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…