Sasa 30billion usd investment of lpg plant in lindi tanzania kazi imeanza 😀😀😀
Macho kodooooo😛😛😛😛
View attachment 551566
- ichoboy naomba hii habari uitengenezee thread. Heading kama ilivyo kwenye gazeti. Tuipate habari vizuri.
Sasa 30billion usd investment of lpg plant in lindi tanzania kazi imeanza 😀😀😀
Macho kodooooo😛😛😛😛
View attachment 551566
Lol ....isnt ignorance funnyWakenya ni watu wa ajabu sana, wamejenga jiji moja tu nchi nzima.
Kwingine ni almost pori, hawana hata miji iliyoendelea kama vile Moshi, Dodoma, au Morogoro weka kando majiji ya Arusha na mwanza.
Ubaguzi unawafanya wa accumulate potential zote Nairobi pekee.Kama Tanzania tusingekuwa na akili ya kuendeleza maeneo mbalimbali ya nchi na kuishia kujenga jiji moja pekee, hilo jiji lingekuwa kama NYC.
There is a Thika vs Dodoma thread enda ujioneeHawa wapuuzi sana wa kenya ...thika na Dodoma ..![]()
Mi mwenyewe ninachompendea jpm ni hapo ,mambo ya kubebena bebana hamna tenaMagufuli. Nachompendea apindishi maneno. Akisema nitafanya anafanya. Hana maneno ya kisiasa.View attachment 551688View attachment 551688
Naomba unitag plz😀😀😀😀
Soma title. DAR VS NAIKenya kuna majiji mangapi? maana kila siku huwa nasikia Nairobi tu.
😀😀😀😀😀😀 mbona umeshtuka sana
😀😀😀😀😀😀 punguza hasira budaa
Unataka competiton azinsha thread... wacha utoto.