tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,198
Ilo jengo ni kubwa litachange kabsa sura ya Sam Nujoma road..
Ilo jengo ni kubwa litachange kabsa sura ya Sam Nujoma road..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilo jengo ni kubwa litachange kabsa sura ya Sam Nujoma road..
Ilo jengo ni kubwa litachange kabsa sura ya Sam Nujoma road..
Yani hii pia niya serikali
Ulitaka iwe ya investorYani hii pia niya serikali
sent from iPhone 7
Hahaaha pumzikaGlad to see tatu city taking off....In 3 years haters watakula matapishi yao.
1590 km sq najua ushaelewahahaha. ....najua nikiomba aeriel view nitakuwa nachokoza watu ...lol
Hio project imeanza tayari upangamchoro za cartoon network nazo mmejua. ...always planning. Lol
Serikali ni infrastructure ama ma tower???????? Kumbe magufuli anakunywa jina lake la kwanzaUlitaka iwe ya investor
Aibu serekali kujenga kwenye nchi yake lakin sio aibu investor kujenga kwenye nchi ya watu wengineLol iyo ni aibu sana
sent from iPhone 7
Kwan unafkiri sisi tunapaa juu au????Serikali ni infrastructure ama ma tower???????? Kumbe magufuli anakunywa jina lake la kwanza
sent from iPhone 7
Aibu kubwa kabsa towers nusu za dar za serikaliAibu serekali kujenga kwenye nchi yake lakin sio aibu investor kujenga kwenye nchi ya watu wengine
Pumzika naona umechoka sana
Aibu sanaKwan unafkiri sisi tunapaa juu au????
Nusu ya dar ni hesabu yako....serekali haimiliki hata tower moja kariakoo tower zote kariakoo ni za wafanya biasharaAibu kubwa kabsa towers nusu za dar za serikali
sent from iPhone 7
Pole sana najua unaumia lakin vumilia tuAibu sana
sent from iPhone 7
Naumiaje sasa kama kampuni za Kenya uap,kcb,Britam zinajenga tower nai...serikali nikuprovide conducive environment.Pole sana najua unaumia lakin vumilia tu
Britam ni investor hii sio nairaland rembNaumiaje sasa kama kampuni za Kenya uap,kcb,Britam zinajenga tower nai...serikali nikuprovide conducive environment.
sent from iPhone 7