Simba 254
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 2,679
- 1,766
Prove ni kitamboYeye amepost current situation ya Nairobi halafu wewe unapost picha za kitambo...huoni kuwa hatufanani hata kidogo?
Prove ni kitamboYeye amepost current situation ya Nairobi halafu wewe unapost picha za kitambo...huoni kuwa hatufanani hata kidogo?
Doesnt matter if we still paying our debtsWhat about debt to GDP ratio kenya 86% 😆
Naona umeamua kuuweka mpira kwapani mzee[emoji1787][emoji1787]We siunajua ku Google fanya ya kwako[emoji3]
Dar cbd vipi, mbona mnaogopa mada[emoji16][emoji16]Alaa kumbe za nyuma ya CBD sikujua embu atuwekee za mbele ya CBD sasa
African CBD..shaghala baghla..Dar ilimvutia hadi akaweka maghorofa ya Dar Es Salaam kama profile picture yake ya fb [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe kuna jengo linajengwa Abidjan umeliacha hapo kwa listNoisy neighbors are nowhere to be found 😂😂
Tallest skyscrapers in Africa.
1. Iconic Tower - Egypt
2. Leonardo tower - S. Africa.
3. Calton Center - S. Africa.
4. Britam tower - Kenya.
5. BoE tower - Ethiopia.
6. GTC Office - Kenya.
South Africa - 2.
Kenya - 2.
Egypt - 1.
Ethiopia - 1
Noisy neighbors - 0
View attachment 1885136
Unajua unaingia kwenye mada hutoweza 😃African CBD..shaghala baghla..
Uchochoroni fc[emoji1787][emoji1787]ongezeni wakenya wenzanguView attachment 1886648
stor za vijiweni[emoji1787][emoji1787]alafu kuna jamaa flani rafiki yangu, tuko naye hapa tu nbi, mama tz na babake mkenya, kisha ni citizen wa both countries, lakini hataki hata kuuzishwa na tz. anasema eti ya ni mkenyareé na hatambui tz [emoji848][emoji848] yatafakari hayo
Kuuzishwa ndo nini? Au ulikua unamaanisha kuozeshwa? Maana atakua choko na sis hatupend😃alafu kuna jamaa flani rafiki yangu, tuko naye hapa tu nbi, mama tz na babake mkenya, kisha ni citizen wa both countries, lakini hataki hata kuuzishwa na tz. anasema eti ya ni mkenyareé na hatambui tz 🤔🤔 yatafakari hayo
Niabishe mzee..ilimradi nione picha za dar cbd tu wala sitojali kitu[emoji1787][emoji1787]Unajua unaingia kwenye mada hutoweza [emoji2]
Sitaki nikuabishe maana Sisi tunaijua Nairobi wewe DSM huaga unaisikia kwa heshima wengine nimeona
Niache kupost picha[emoji2]