Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Only CBD looks better, na sio yote, sehemu ndogo sana looks modern, an area less than 10% of the whole sq km! ukibeba vijijini ndani ya kichwa kisha uje umwage mjini., inakua kijiji kubwa, yaani mashambani mjini..,
It's called a glorified fishing village my brother
 
Hao alshabab ni wanaume kwenu cc kwetu warembo tu hao waulize wakuambie tulichowafanya Kibiti.
Dogo mimi natambua hawa., nawakubali watoto wa Congo, kiboko cha TPDF..,
1625057520588.png
 
Alaa!



Kuna baadhi ya Wakenya humu bado wanatetea Marekani kwa kitendo hichi cha kusema Shabab sio gaidi. Hawa Wakenya uzalendo wao uko wapi? Ama pengine wanadhani wazungu wako always right Waafrika wako always wrong which is a sign of inferiority complex on their part. Wakenya wanastahili kujua America ni mashetani wakubwa. Ndio maana nilishangaa Mkenya fulani mjinga akisherehekea kuwa Marekani wanapanua kambi yao ya kijeshi hapa Kenya. Ninarudia ningekuwa rais wa Kenya ningewafurusha Kenya. Waende w*tombane na Al shabab huko. Hamna haja ya majeshi ya Marekani kupiga kambi Kenya eti wanapigana na ugaidi ilhali wanasema eti hakuna ugaidi Somalia. Kwani wanapigana na nini, upepo?
 
Sisi tayari tunavyo, na ukisikia U/C ya stadium Tz ujue ni ya ku break the history Mana Magu alishatuonesha tunaweza.
Vitu unapost hapa sio viwanja. Zile zizi za ng'ombe. Viwanja tunapost nyingi ziko na wall na roof all-round. Zako watu hunyeshewa na kuchomwa na jua
 
Back
Top Bottom