Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Hamuwezi vita, kubalini mlipigwa na watoto wavuta bhage, Comoro mkacharazwa huku wengine wakifa maji, na typhoid juu, Darfur kule hata usiseme! POW hutokea vitani, hata the so called first world nations, wanajeshi wao mara ngapi tumesikia wakichukuliwa mahabusu wakiwa vitani. Mangese walimkimbia hadi Amin, baada ya kupata msaada, ndio mkajipeleka. Mngefutwa kwenye ramani ya dunia nyie ka si usaidizi. Uliona wapi nchi askari magereza, traffic, askari usalama hadi wahudumu wa mortuary wanapelekwa vitani kusaidia jeshi lao hafifu? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂nyeenyee tumeshinda alshabab
haya nambie mwaka wa ngapi huu! huyu na wenzie zaidi ya60 mtawaokoa lini maana waliolewa na wavaa yeboyebo
morali itatokea wapi kwa jeshi dhaifu hivi View attachment 1835131View attachment 1835132
Mjaribuni sahi, M7, muishie kulilia chooni, panya buku nyie! Hawatumii mchina waganda wa sahi! 🤣 🤣


