Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
Usharuka, duh!! π€£ π€£ π€£ π€£Hiyo ni card,type ilikua error
Nyani haoni kund... π π π Utapia mlo utawamaliza nyie! π¬π¬π¬Kila mwaka lazma njaa iwaondoe ππ
Mweleze hebu! π€£ π€£ π€£ Wacha money gram na Western Union, kitu cha mpesa nimekitumia sana nikiwa pilka pilka zangu. Alafu anakuja kukinukisha hapa eti Equity, hadi Safaricom wanavuka border. Hiyo Tigo yafanya huko nje? π π πkwa uelewa na experience niliyonayo ya kutuma na kupokea hela kutoka nΓ©e ya nchi.. hizo banks hazina hizo huduma.. hata mim natumia moneygram.. kupitia equity au kcb au DTB.. bank za kibongo kubwa hazitaki hizo biashara
Maumivu haya. Ugua pole.tangu walipozindua international bus stand . hadi Leo siamini chochote wanachosema kuhusu Kunya land . maana mnapenda sifa zisizo na sababu . mara super highway , ultra morden, international , Chinese first standard . ukiangalia physical ushuzi tu
tuna walola. i told you kenya kandamizas you guyz in each and every aspect na bado hamskii. of the top 20 slots in eastern and central africa bank ranking 2020, kenya takes 10slots!. thts a half! (we have 5kenyan banks fully operational in tz, ug, rw, bu, ss;- kcb, equity, fina, stanbic, dtb)Hapa kani-bore
Anaendaje ku-partner na Equity bank Tanzania badala ya CRDB au NMB ? Au mobile companies? Hivi anajua jinsi watu hawazimikii haya mabenki ya Kunyaland? Mbona asi-partner na Equity bank Kenya!? Mimi siwezi kutumia hii app yake nikainufaisha Equity bank! Kama yupo humu ajue hilo! Sorry!
Huko kwenyu je? Mara Mwendokasi, bullet trains, Chato international, hehehe, huzioni sifa zenyu za kujamba Jamba? π π πtangu walipozindua international bus stand . hadi Leo siamini chochote wanachosema kuhusu Kunya land . maana mnapenda sifa zisizo na sababu . mara super highway , ultra morden, international , Chinese first standard . ukiangalia physical ushuzi tu
kwako hii ni ushuzi.!?. nuguπtangu walipozindua international bus stand . hadi Leo siamini chochote wanachosema kuhusu Kunya land . maana mnapenda sifa zisizo na sababu . mara super highway , ultra morden, international , Chinese first standard . ukiangalia physical ushuzi tu
IRAN & IRAQ ziliwapa nn Tanzania.. mbona hela ndefu sana... Angola?
Uhuru is alive unlike magufFOOLiHow about "Kunyatta"? anahara nn saahii?
Mnazungukia pale pale
Hapo ni mandera road karibu na power station dar is slum.Umesema hapa ni wapi??π€£π€£πππ
View attachment 1822042
Kumbe brt zenyu ni za kukata ticket pekee, damn, na huku mnaringa. Wacha chai sasa, from my experience, brt hutumika smart cards 99% the 1% ni ya wale wa temporary, wasiokuwa na haja ya cards, i.e tourists nk..
NB-tickets haziwi na masaa Labda zenyu tu. Ticket ukinunua ni kama umechukuwa distance flani, so hata kesho yake unaweza itumia hiyo ticket kama hukusafiri. Haiwi invalid sababu bado haijawa registered kwa system. Toka kijijini uingie duniani, utoe togotogo! π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
You lead the world not only Africai can say tanzania is at its infancy, as much as matters 'real estates' is concern.
kenya we are giants in this things (magwiji ndo manaake). infact in the continent!
if u dont believe me,.. just google it please......
Luxury domo kunyata airstrip terminal shuttles aren't quite different from normal Nairobi slums Fusoz, hii nchi hata naona aibu kuwaita majirani π€£π€£π€£
Saivi naona wanajenga tiny brt shacks kama wendawazimu ππππ
View attachment 1822422View attachment 1822423
Ameumia huyu, utazoea tu.You lead the world not only Africa
View attachment 1822393View attachment 1822396View attachment 1822399View attachment 1822401
Asa hiki nini?Ameumia huyu, utazoea tu.