ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Uzuri wetu sisi hatuchagui hatubagui mgeni yeyote anaeleta pesa tunamjali😀😀😀😀Kitu mzuri mnatambua hadi mkenya
sent from iPhone 7
Uzuri wetu sisi hatuchagui hatubagui mgeni yeyote anaeleta pesa tunamjali😀😀😀😀Kitu mzuri mnatambua hadi mkenya
sent from iPhone 7
Nani hutambui hapo? Kwani unaishi kichakani😀😀😀😀😀😀 hata siwajui hao watu
Mm nakutajia famous people
Bora nyie DC😀😀😀😀😀
Lakini umekula
Eldoret ndio nimeijua majuzi tu,Arusha umeijua tangu ukiwa mdogo, alafu useme ni ndogo though imekua jiji 2010 kama sijakoseaStop being a blind fanatic. .........Arusha is so small
Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app
Ni poa kutambua mkenyaUzuri wetu sisi hatuchagui hatubagui mgeni yeyote anaeleta pesa tunamjali😀😀😀😀
Jaribu kutuletea famous people tafadhaliNani hutambui hapo? Kwani unaishi kichakani
Hata angekua mtu wa rwanda madamu analeta ankara tunampaisha tu😀😀😀😀😀Ni poa kutambua mkenya
sent from iPhone 7
Hakuna nchi africa isioomba hapo utakua umetuingiza chaka......Usijali, Kenyans sio Ombaomba Kama vile wabongo. Hata kama sijala sitokuomba maana huna mwenyewe ombaomba.
Iweje hiyo level hadi Ali Kiba Mzimamzima anaimba hayo mambo ya ombaomba ya wabongo kwenye wimbo - "Usiniombe"
![]()
![]()
Look at your tiny arusha. ....don't bring me other statistics coz all these cities have grown in number
Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app
Eldoret ndio nimeijua majuzi tu,Arusha umeijua tangu ukiwa mdogo, alafu useme ni ndogo though imekua jiji 2010 kama sijakosea
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
This is the Arusha underconstruction. Not Machakos or Eldoret. Hapa kazi tu. Known as Safari City. Acheni maneno Nyangau.View attachment 541165 View attachment 541166 View attachment 541167 View attachment 541168 View attachment 541169 View attachment 541170 View attachment 541171 View attachment 541172
Hakuna nchi africa isioomba hapo utakua umetuingiza chaka......
Nchi zote zinaomba africa😀😀😀😀
Au tunavowaita DC basi munajiona DC kweli
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
Mkuu hivo ndivyo Uhuru alivyoomba na deni la Kenya limefikia hapa. Hawa Nyagau hawana pakutokea humu.Hakuna nchi africa isioomba hapo utakua umetuingiza chaka......
Nchi zote zinaomba africa😀😀😀😀
Au tunavowaita DC basi munajiona DC kweli
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
We jamaa Kenya niijue sana ili iweje? Kuna sehemu ambazo Ni za muhimu sana kuzijua kenya eldoret ni leastseriously. ....I thought geography took care of that back in primary School.
Umeona uwanja huo modern stadium in east and central africa😀😀😀😀😀Gor Mahia in TZ: Respect the real Ogs
![]()
Eldy is know worldwide because of its athletesWe jamaa Kenya niijue sana ili iweje? Kuna sehemu ambazo Ni za muhimu sana kuzijua kenya eldoret ni least
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Acha maneno mengi. Angalia jinsi Uhuru alivyokuwa omba omba nakuweza kupaisha deni juu. Lol Uhuru noma, kapita raisi wote wa Kenya kwa kuomba mikopo.Kenya ndio husema nyinyi mkafuata sio nyinyi kutuambia!
Kwenu huko ni kujitekenya na kucheka wenyewe
Least staffEldy is know worldwide because of its athletes
sent from iPhone 7
You're not exposed thenLeast staff
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app