Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We are building superhighways. .....You are bragging about a mere bridge

Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app
Kenyan bana ,kupitia Uzi huu nimejua kuna mada izi ukimtajia mkenya anakimbia kwanza anarudi mpaka mambo yapoe
1. Kumiliki ardhi Nairobi
2. Kujenga dream house Nairobi
3. Makazi ya kawaida ya normal citizens wa Nairobi
4. Technology APA ndo wanaleta bla bla kibao uku mpaka karne hii driving licence wanatumia booklets
5. Chakula huu ni mwiba makali sana kwao kwani njaa haijawai muacha jirani yetu mkenya kila mwaka anaililia Tanzania imlishe ,ila mjue kwa sasa tumegoma kuwa spoon feed tunawauzia ugali na uji sio maindi tena
6. Majengo marefu ,apa watakuletea mpaka antenna wanakwambia ndio urefu
7 . public transportation ya jiji LA Nairobi wakisikia ya DSM wanakimbia kwanza
8 . Ukiwaonesha wa Kenya the only super bridge in East and central afrika ambayo inapatikana DSM ,wanakuletea na wao weigh bridge za Nairobi kwa ajili ya kupima magari uzito


Uzi uendelee niendelee kuwa study

spensa_e
 
Godown za JKIA
9b32b7c1c0befba395f7330ecbcbd93a.jpg
 
Ive been in this place it green themed, hii fala inasema ni ugly hata haiwezi afford kukaa hapo ndio ushamba is real

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
My friend, if your eyes convincing you that pumpkin iko safi, unatakiwa uende kwa doctor wa macho.
What the difference of this tank
images



and your Tank building

DEdf7vYXsAAv9Gr.jpg
 
Back
Top Bottom