Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huwezi compare hizo face me trucks with this, hizo nikama zile lorry huwabeba huko tanzania ocha.
AB.jpg
wiz.jpg
 
about yesterday:

this afternoon in LDC:
fresh cassavas from LDC mashinani being taken to the local food market in dar es salaam.
i took these photos an hour ago while i was stuck in a traffic jam.
28ddd99d66f012a62244d8aa176d10ab.jpg
144a5d55126682ddc5439b803062a7cb.jpg
5c373e85a2f3fa54454b1d5cb9f2f098.jpg
841d100ef3d3797b87779944e9fc64d8.jpg
1d0825ef2b43f34b8a911bf6663f5462.jpg
Sawa tumeona, utashindia kitu kimoja toka asubuhi?
 
Nyota wa soka wa England Wayne Rooney, ambaye amekamilisha uhamisho wake kutoka Manchester United na kurejea Everton amesema anasubiri kwa hamu sana kuzuru Tanzania.

"Naisubiri sana kwa hamu na ghamu (safari ya kwenda Tanzania) - inafaa kuwa safari nzuri," aliambia evertontv.

"Itakuwa nzuri sana na natumai kwamba nitaweza kuingia uwanjani na kucheza.

"Huwa vizuri sana unaposafiri na timu. Ni vizuri kuwa hotelini na wachezaji, kujumuika nao na kuwafahamu zaidi.

"Sijawahi kwenda Tanzania, na kwa hivyo nasubiri sana kwenda huko."

BBC Swahili


Sent from my itel it1516 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom