Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

But you perform poorly in football, mngekua league ya akina Cameroon sawa, add more to sports
Sasa kipi kinakuwasha. Sisi tunapenda football tukishindwa sisi hatuumii halafu wakenya mnaumia si ujinga huo.

90% ya wanaume Tz wanajua soccer. Sasa wewe mkenya unatupangia tuishije umekosa kazi ya kufanya tukupe ajira. Kwanza kabla ya yote umekula lakini kijana!?
 
Hahaha. .....sawa. tumewaskia

Sent from my SM-G316HU using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mchezo mnajua, hakuna ile mushaitamba kwa international level.
Sasa shida yako ni nini!? China wameshawahi shinda mchezo gani!?
Mbona mdomo mrefu sana juu ya TZ. Wewe kwanza hujui tofauti ya digital na analog utaweza kweli kujadili na mimi.
Hivi umekula kweli!?
 
Sasa shida yako ni nini!? China wameshawahi shinda mchezo gani!?
Mbona mdomo mrefu sana juu ya TZ. Wewe kwanza hujui tofauti ya digital na analog utaweza kweli kujadili na mimi.
Hivi umekula kweli!?
Talk on your behalf wachana na China, they are so good at so many sports. Sports hamjui kitu.
 
Talk on your behalf wachana na China, they are so good at so many sports. Sports hamjui kitu.
Nimekuuliza umekula lakini!? Kukimbia kimbia ovyo ovyo kama punda ndio mnajiona mnajua!?
Hayo ni maonesho ya wanyama.
Dogo umekula lakini!?
 
Nimekuuliza umekula lakini!? Kukimbia kimbia ovyo ovyo kama punda ndio mnajiona mnajua!?
Hayo ni maonesho ya wanyama.
Dogo umekula lakini!?
Unaniuliza nimekula ndo unitafutie choo ama? Wacha tukimbie kama punda bora tunajenga jina.
 
DAR ES SALAAM

DSC_3068.jpg
 
Unaniuliza nimekula ndo unitafutie choo ama? Wacha tukimbie kama punda bora tunajenga jina.
Kwikwikwikwi. Jina gani hilo wazungu wanawaona kama wanyama. Mnatuaibisha bana. Nimekuuliza umekula lakini dogo!? Kama vipi njoo Dar ugali unapatikana kwa wingi. Lakini usisahau passport yako sawa dogo!?
 
Kwikwikwikwi. Jina gani hilo wazungu wanawaona kama wanyama. Mnatuaibisha bana. Nimekuuliza umekula lakini dogo!? Kama vipi njoo Dar ugali unapatikana kwa wingi. Lakini usisahau passport yako sawa dogo!?
Lazy lot pengine mshinde sports ya kulala. Sijawai lala njaa brathe in fact I eat better than your whole village.
 
Sasa kipi kinakuwasha. Sisi tunapenda football tukishindwa sisi hatuumii halafu wakenya mnaumia si ujinga huo.

90% ya wanaume Tz wanajua soccer. Sasa wewe mkenya unatupangia tuishije umekosa kazi ya kufanya tukupe ajira. Kwanza kabla ya yote umekula lakini kijana!?

Jamaa amecatch mafeelings coz they know they are very poor in sports hahaha, naskia njaa tena sana
 
Sasa shida yako ni nini!? China wameshawahi shinda mchezo gani!?
Mbona mdomo mrefu sana juu ya TZ. Wewe kwanza hujui tofauti ya digital na analog utaweza kweli kujadili na mimi.
Hivi umekula kweli!?

Are you freaking serious, last Olympics you dint see how many medals china sweeped, ooh wait you dint watch the Olympics coz Tz never made it anywhere, kwa swimming mliabishwa, athletics wacha tusiongee, judo wee aibu sana
 
Lazy lot pengine mshinde sports ya kulala. Sijawai lala njaa brathe in fact I eat better than your whole village.
Nimekuuliza umekula lakini!? Nasikia Nairobi ugali ni luxury. Jibu swali dogo umekula lakini!?
 
Nimekuuliza umekula lakini!? Nasikia Nairobi ugali ni luxury. Jibu swali dogo umekula lakini!?
Kwani ugali ndo chakula pekee, wewe mwehu nini! Mada ilikua you been poor at sports.
 
Kwani ugali ndo chakula pekee, wewe mwehu nini! Mada ilikua you been poor at sports.
Mbona unakwepa swali langu. Mbona unaonashida kunijibu!? Nimekuuliza umekula!? Jibu ndio au hapana, mbona simple tu.
 
Back
Top Bottom