Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Hata usijisumbue kutafuta cause they are not there. Kwani hujui kuwa Banks kumi bora za Tanzania faida zao zikiunganishwa haifikii faida za KCB Bank ya Mwaka moja?
Lakini KCB ni Muzungu Bank au ilianzishwa na Muzungu at least, ina miaka zaidi ya 100 of course its richer, Benki zetu zimeanzishwa baada ya Uhuru, ...

