Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ijapokuwa bado ujenzi haujakamilika, Hii station haijawahi kuwaacha majirani salama
you wish.....hio design haivutiiii hataaaa. Alafu mnaijaza vioo eti ikae modern.There's nothing unique about it, pillars tu alafu unaifunika na vioo vitu vya kawaida. Daah hapa penye stations mmepigwa
 
Kwa hiyo kama hakuna pesa hamnunui danganyikanite?
Kawaida Tanzania hatununui madini, hiyo ni kazi ya private sector, hiyo pesa ilikua pale "Central Bank" imetulia haina kazi, tungeweza kulipia hilo deni la EAC lakini tumeona hakuna faida yoyote tunapata toka EAC, bora tununulie hayo mawe ya Tanzanite tuweke pale Museum ili watanzania waangalie bure.
 
Kawaida Tanzania hatununui madini, hiyo ni kazi ya private sector, hiyo pesa ilikua pale "Central Bank" imetulia haina kazi, tungeweza kulipia hilo deni la EAC lakini tumeona hakuna faida yoyote tunapata toka EAC, bora tununulie hayo mawe ya Tanzanite tuweke pale Museum ili watanzania waangalie bure.
Acha visingizio hadi mchango wenu kwa AU mnalipa kwa shida characteristics za nchi maskini...sasa hivi ni kulia msamewe madeni
 
Acha visingizio hadi mchango wenu kwa AU mnalipa kwa shida characteristics za nchi maskini...sasa hivi ni kulia msamewe madeni
Sasa iweje tumelipa huyo Masai siku hiyo hiyo alipopata hiyo Tanzanite lakini hatujalipa EAC kwa zaidi ya miaka miwili?, kwanini hatudaiwi SADC?, hopeless EAC hatuwezi kupoteza pesa yetu huko.
 
you wish.....hio design haivutiiii hataaaa. Alafu mnaijaza vioo eti ikae modern.There's nothing unique about it, pillars tu alafu unaifunika na vioo vitu vya kawaida. Daah hapa penye stations mmepigwa
Tatizo unatanguliza wivu. Hatujajaza Vioo na wala modernity sio theme pekee ya hiyo station. Theme ni Tanzanite na hakuna njia nyingine zaidi ya glass cladding. Kuhusu uniqueness naomba nikujulishe kuwa Africa hakuna station ya aina hiyo tafuta ukipata leta.
 
you wish.....hio design haivutiiii hataaaa. Alafu mnaijaza vioo eti ikae modern.There's nothing unique about it, pillars tu alafu unaifunika na vioo vitu vya kawaida. Daah hapa penye stations mmepigwa
6919A6F4-EE52-4330-9AD2-4BBC6B557571.jpeg
 
Acha visingizio hadi mchango wenu kwa AU mnalipa kwa shida characteristics za nchi maskini...sasa hivi ni kulia msamewe madeni
Sifa za nchi pumbavu km kunya ni kupretend your ok while for dem sure you know its just a ventilator which help you to exist stupid
 
Sasa iweje tumelipa huyo Masai siku hiyo hiyo alipopata hiyo Tanzanite lakini hatujalipa EAC kwa zaidi ya miaka miwili?, kwanini hatudaiwi SADC?, hopeless EAC hatuwezi kupoteza pesa yetu huko.
Mafao ya wazee miaki mitatu mmeshindwa kulipa, koroshow bado wakulima wanalia EAC mtaweza kweli? Hamna hela
 
Hvi hakuna project yoyote ya ku-modernize ufukwe wa kuanzia magogoni mpaka usawa wa posta ya zamani kama walivyofanya Luanda-Angola. I wish iwe modernized waweke na sitting facilities kwa ajili ya watu kukaa na kupata sea breeze hasa nyakati za jioni hata kama kutakuwa na malipo kidogo. Naamini mandhari itapendeza sana kama watapadesign vizuri.
 
Mafao ya wazee miaki mitatu mmeshindwa kulipa, koroshow bado wakulima wanalia EAC mtaweza kweli? Hamna hela
Utabaki kupiga domo tu, hakuna mzee wala mkulima anayedai, sisi sio huko kwenu kila siku migomo ya wafanyakazi wanadai Serikali pesa zao.

Bila kujitoa katika kundi la "Failed state" matatizo kwenu yatazidi kuongezeka kila siku.
 
Hvi hakuna project yoyote ya ku-modernize ufukwe wa kuanzia magogoni mpaka usawa wa posta ya zamani kama walivyofanya Luanda-Angola. I wish iwe modernized waweke na sitting facilities kwa ajili ya watu kukaa na kupata sea breeze hasa nyakati za jioni hata kama kutakuwa na malipo kidogo. Naamini mandhari itapendeza sana kama watapadesign vizuri.
mbona ipo umepita lini gymkana???

au sio hiyo unayosemea?
 
Hvi hakuna project yoyote ya ku-modernize ufukwe wa kuanzia magogoni mpaka usawa wa posta ya zamani kama walivyofanya Luanda-Angola. I wish iwe modernized waweke na sitting facilities kwa ajili ya watu kukaa na kupata sea breeze hasa nyakati za jioni hata kama kutakuwa na malipo kidogo. Naamini mandhari itapendeza sana kama watapadesign vizuri.
Hii point kubwa sana mkuuu
 
Utabaki kupiga domo tu, hakuna mzee wala mkulima anayedai, sisi sio huko kwenu kila siku migomo ya wafanyakazi wanadai Serikali pesa zao.

Bila kujitoa katika kundi la "Failed state" matatizo kwenu yatazidi kuongezeka kila siku.
Mafao ya wazee waliostaafu bado kulipwa zaidi ya miaka tatu, wakulima wanalia koroshow hawajalipwa mbona?
failed state ndio inazuia? 😊
 
Back
Top Bottom