Hawa weusi hutaga mpk mayai 12 weupe hutaga mayai 6 tu
kitomari2 naombwa unijuze, kwa sasa mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji na chotara, natamani nianze kufaga bata bukini, je ni lazima uwe na bwawa kwa ajili ya ufugaji wa bukini?Hawa weusi hutaga mpk mayai 12 weupe hutaga mayai 6 tu