hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Sema bei, na punguzo ni sh. ngapi?
Khaaaaaaa
Wataka haki punguzo kama wale kina mama wajawa................
Tehe tehe tehe
Nimepita tu mkuu usikonde. Nenepa
Sema bei, na punguzo ni sh. ngapi?
Pata bata mzinga wenye kukua haraka na wenye kuvumilia magonjwa pia wanauwezo wa kua mpk na kg 15 bata bukini wanapatikana karibu 0757662401
Kitomari nakukubali sana mkuu una mbegu nzuri sana
Ndugu wana jf wote kuna mtajwa hapo ni jamaa wa arusha ni tapeli sec anatumia namba za simu tofauti tofauti na kwenye matangazo kwenye fb,local promo baada ya kuona jf kimenuka.nimeona ameandika anauza bata ,kuku ,na mengineo..namba yake ni hii na anazo nyingine km tano please wafugaji wenzangu kueni macho..namba zake 0757662401
dated
17/10/2015
kweli Jamaa ni mpigaji old school wa JF wanamjua