culboy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 526
- 48
- Thread starter
- #21
Hivi bata mzinga wanaliwa au ni mapambo ya nyumba? na hao bata bukini wakoje?
CC. Kitomari
bata mzinga wananyama tamu sana bata bukini ni wasafi pia hukuta majani Etc Garden pia ni walinzi wazuri kwa mifugo kama kicheche nyoka huwafukuza