Bastola ya Aden Rage na CCM

Hapa ndo ungetegemea wale viongozi wetu wa dini wasimame na kukemea bila chenga utovu huu mkubwa uliooneshwa na kiongozi huyu tena si kiongozi wa kisiasa (mbunge) tu bali pia kiongozi wa kijamii (M/Kiti wa Simba Sports Club). Lakini la ajabu hutasikia lolote kutoka kwa wadini hawa! Rage kusimama na kuonesha bastola yake hadharani anataka kupeleka ujumbe gani kwa jamii? Anataka jamii iige nini kutokana na hilo? Anataka vijana waige nini? Anataka wenye mitazamo mikali ya kidini (fundamentalists) wafikiwe na ujumbe gani? Anataka mashabiki wa Simba na vilabu vingine wajifunze nini? Au pia anakusudia kufikisha ujumbe gani kwa wana-CCM wenzie? Sijajua hasa lengo lake.

Lakini viongozi wetu wa dini kimyaaaaa! Ama kweli, kwa unafiki wao, wanafiki huchuja mbu na kumeza ngamia; yamepata kunena hivyo maandiko fulani. Well, labda ni mapema mno, huenda watatoa tamko.
 
Kitendo cha Mheshimiwa Rage kwenda kwenye mkutano wa hadhara na kuonyesha silaha yake hadharani ni uhamasishaji wa wananchi kwenda na mapanga ,sime na mashoka kwenye mikutano ya kampeni
 
Nimeshtushwa na picha iliyopo kwenye ukurasa wa mbele wa moja ya magazeti ya leo. Mbunge wa Tabora mjini Ismail Aden Rage anapanda jukwaani na Libastola kiunoni. Mungu amejibu swali gumu ni nani anaeleta vurugu kwenye kampeni za Igunga? Bastola ya nini kwenye mikutano wakati kuna wanausalama weengi hivyo? CCM NI HATARI JAMANI NI KIFO..
Kwa kitendi hiki ni kuhalalisha wananchi waende kwenye mikutano ya hadhara na sime ,mapanga na masho je hii ndio tanzania tunayoitaka?
 
Nimeshtushwa na picha iliyopo kwenye ukurasa wa mbele wa moja ya magazeti ya leo. Mbunge wa Tabora mjini Ismail Aden Rage anapanda jukwaani na Libastola kiunoni. Mungu amejibu swali gumu ni nani anaeleta vurugu kwenye kampeni za Igunga? Bastola ya nini kwenye mikutano wakati kuna wanausalama weengi hivyo? CCM NI HATARI JAMANI NI KIFO..

Atasingizia ni ya CDM walimuweka bila yeye kujijua.
 
Jamani kumbe ushamba hauna umri au U-Somalia ndani ya; yaani huyu Al-Shaabab kadiriki kuonyesha advertise ya kumiliki bunduki kwenye jukwaa la kunadi chama akipendacho na watu wakamuacha hivi hivi!!!!!!!!!!!!

07ragekam.jpg

Mbunge wa Tabora Mjini, Ismail Aden Rage akiwa na bastola kiunoni akielekea kupanda jukwaani kuzungumza na wananchi wa Kijiji cha Igurubi kwenye mkutano wa CCM wa kampeni za uchaguzi mdogo Jimbo la Igunga jana.
 
Upumbavu huo anafikiri nchi bado ipo kwenye ujima ya kutishatisha watu inadhihirisha upeo wake na uelewa wake unapoishia
 
Sheria haikatazi mtu kumiliki silaha, ila hili la kuionyesha hadharani kama simu ya BB ni kosa kubwa tena ni kuwatisha wananchi. Watu kama hawa ndio wanaoendelea kutia doa kampeni za CCM. Yaani CCM imekosa watu wote mpaka inaenda kumchukua Rage...ananikumbishia alivyokuwa FAT ya zamani alikuwa mbishi sana..

Sheria haikatazi kumiliki silaha lakini inakataza kubeba silaha hadharani hasa kwenye mkutano wa hadhara. Hili ni kosa kubwa sana na kama wahusika wangeangalia sheria kwa haki kama inavyotakiwa, angefunguliwa mashtaka kwa hili.
 
Kwakeli sikutegemea kwa mtu mweye akilizake na kiongozi (Mbunge wa CCM) kufanya vitendo kama icho, hii inaonyesha wazi jinsi viongozi wetu walivyo wagumu wa kufikiri, kubeba bastola mbele ya umati wa watu ili si jambo la mzaa, ni kutisha jamii ya watanzania wenzetu. sioni kama kunauwezekano wa ccm kurudi madaraka tena
 
Woga wa kijinga! kwani polisi wetu ni legelege kiasi hicho. CCM waache vitisho. Uchaguzi mdogo ndio hivyo, uchaguzi wa rais 2015 itakuwaje?
 
Kiukwel nchi ye2 inakoelekea kubaya,con sabab ya kupanda jukwaan na hyo mambo wakt kuna usalama wa kutosha,kungekuw hakuna usalama angesema anajilinda sa ni ya kazi gan,
 
Hii ni hali ya hatari sana kwa nchi yetu. Namwomba kiongozi yeyote wa juu serikalini atoe statement ya kulaani kitendo cha huyu Mheshimiwa kwenda na silaha kwenye mkutano wa hadhara. It's critical!!! Huu ni mwanzo wa anarchy. Ukiangalia sehemu yeyote iliyowahi kuwa na civil war, mwanzo wake huwa ni kama hivi. Huyu mheshimiwa amevunja sheria ambayo ni clear kabisa, na ni sheria ambayo inalinda amani na Utanzania wetu haswa. Lazima kiongozi wa juu aidha serikalini au kwenye chama akemee hili kama Tanzania inataka kuendelea na amani. Mwulize mwanasheria yeyote au askari yeyote atakuambia kuwa alichofanya ni tishio kubwa sana la amani Tanzania. It's extremely dangerous kukalia kimya swala kama hili. I don't care kama atashtakiwa au la… the key is serikali ikemee kutembea na silaha, especially kama imefanywa na kiongozi. Sasa hivi kule Igunga kunachemka halafu huyu anakwenda pale na kiberiti? Rwanda watu walianza kukusanya mapanga na wale viongozi walioona hivyo wakakaa kimya. Tanzania tusikae kimya. Tumeliona kule Rwanda, limetudhuru kwa sababu imebidi tuwa-host wakimbizi na sasa hivi kama sisi siyo waangalifu, tutayaona yaliyotokea kwa jirani zetu.
 
Kitendo cha Mheshimiwa Rage kwenda kwenye mkutano wa hadhara na kuonyesha silaha yake hadharani ni uhamasishaji wa wananchi kwenda na mapanga ,sime na mashoka kwenye mikutano ya kampeni

Mkuu fanya ka-analysis kidogo bana,maana kwa kusema hivyo tu haileti hamasa kuchangia....
 
Rage ana hamu ya kushika AK 47 kama ndugu zake wa Mogadishu wanavyofanya. Muda umefika serikali imrudishe kwao huyu mkimbizi mwenye hamu ya damu
 
Huyu Mtu aliwekwa Jela kwahiyo ni felon; felons hawaruhusiwi kuwa na silaha za hatari

Kwanini Serikali ya CCM inamruhusu? na kutisha wananchi kwasababu sheria ni kutoionyesha hadharani
 
Back
Top Bottom