Bastola ya Aden Rage na CCM

Bastola ya Aden Rage na CCM

hii dharau ya serikali hadi lini? sitabiri mwisho mwema wa mambo kama haya, kumbe wenzetu wameshagaiana ma-bastola eeh, maskini sie wengine hatuna hata mundu, tutafanyeje sasa??
 
Huu utamaduni wa kutembea na silaha hadharani katika nchi yenye amani kama yetu hii Rage kaupata wapi???????

Je kwa kitendo hiki Rage anatuambia nini kwa hiyo lugha ya mwili - huyu baba huenda akawa ni FISADI na pengine muuaji ambaye katika nchi hii tulikua hatujamuelewa bado?????? Nashangaa hata ikulu ya Mwalimu Nyerere iliokua ikilindwa tu na wauza samaki pale feri siku hizi noma hata kupasogelea tangu UFISADI ulipochukua mimba miongoni mwetu.

Sasa swali ni kwamba ni nani huyo anayewatisha viongozi wetu gizani kila kukicha kiasi cha kuanza kuiga mitindo ya Ki-Somali watu kuzunguka ovyo na bunduki hadi misikitini??????????

Je Rage anainuia kupata nini Igunga kwa mtaji wa kutisha wananchi na bastola?????
 
Hivi kutokana na sheria ya kumiliki silaha si inabidi anyang'anywe?
 
Weka picha mkuu, sio wote tuna access na magazeti

mkuu pole magazeti yamepanda sikuhizi tofauti ulivyoacha leo gazeti sh 500 maandazi matano ya watoto hata huyo usije ona kaakaa kimya kaangalia kwa juu aulipii akaona picha mpwa akibahatika ya ofisni mashallah atatuletea si unajua ile mabosi wanatupa tunaokota tukawapelkee wake zetu wajue tumetoka ofisini na sisi
 
Huyu si alifungwa akatoka kwa msamaha. Ushamba tu huo, kwanza unapokuwa nasilaha hutakiwi kujulishja kwamba unayo maana watu wakishajua ndo wanaifuata hiyohiyo.
 
Nadhani haileti picha nzuri sana wakati huu kutembea na cha moto hadharani namna hiyo. Tumezoea kuwaona polisi wakiwa na zana hizo kwao ni zana za kazi, najiuliza ingekuwa ni ofisini bosi wako anaingia na bastola kiunoni hata kama anaimiliki ingekuwa taharuki. Naamini wengi wanazao lakini zinawekwa sirini, sasa hapo Mh. Rage anatuonyesha ubabe, si kiashiria kizuri.

Inaweza ni mtego huo watu wawe makini. Anaweza akawa ameitegesha hivyo ku-plant kitu fulani. Anaweza kutokea muhuni mmoja aliyelipwa fedha fulani aka-mnyang'anya; akaua/akalipua watu kwenye kampeni wakasema huyo mtu ni chama fulani. Watu kama Rage, Justin Nyari,Rostam etc hawatakiwi kabisa kwenye chama chochote. Hawana kabisa uzalendo, they can do anything for power. Jamani wazee wenye busara CCM hili silo la-kupuuzia. Hebu waketisheni chini hawa vichwa maji wanatuharibia nchi yetu. It is not about politics anymore ; tunaelekea kubaya sana. Mi nafikiri hii haihitaji hata kupitia sheria inasemaje kwasababu; Igunga tayari kuna vuguvugu la mfarakano/fujo sasa kwenye mkusanyiko wa aina hiyo unaenda na silaha hadharani ili iweje?
 
Ngoja tuone matokeo ya bastora yake. Afu wao ndo wakwanza kutangaza tanzania kuna amani,mbona hawajiamini.?
 
Hili sio tukio la kiwaida, ni tukio la kuogofya, linatakiwa likemewe vikali sana.Viongozi wa CCM na jeshi la polisi (wenye dhamana ya kuwalinda raia) kama wana hakili timamu wanatakiwa walitolee tamko na kuwaomba radhi wananchi wa Igunga na watanzania kwa ujumla kwa mshtuko walioupata kwa Tukio la kada wake kupanda jukwaani kwenye kampeni za kisiasa na bastola. Vinginevyo wataleta picha mbaya na new trend kwa siasa za Tanzania.
 
tuelewane kitu ki1..je kosa la rage ni nn..kutembea nayo au kuionyesha..?

Personally nasema nikuionyesha. Tena jinsi shati lake lilivyokaa hapo ni ngumu kuni-convince kwamba hakukusudia kuliweka shati lake hivyo (purposely ku-display hiyo silaha). After-all amepita na amekutana na watu wengi kabla hajafika hapo; kuna polisi wanaoangalia amani hilo eneo, kuna wasaidizi wengine etc. kama ingekua bahati mbaya angekua ameshashtuliwa.
 
Anaweza kuwa member wa Al shabab huyo

Sio atakuwa member mkuu,ni Agenti wao hapa Bongo.By the way,Leo wanaingia na Bastola,kesho watawaambia wanachama wao wakachue kwa IGP kila mmoja na aende nazo mkutanoni,Sijui angekuwa amebeba mfuasi wa chadema akapanda nayo jukwaani ingekuwaje?Tukisema Polisi ni Makuwadi wa CCM na IGP anatumika vibaya kwa sababu ya Ushemeji wake na Rais JK tunaambiwa wachochezi,tumeshindwa siasa.Hivi kila mtu akienda na silaha mkutanoni itakuwaje?Leo Rage Mbunge mzima na akili zake anaenda na silaha anasema anajihami,kesho wanachama nao wanasema wanajihami,kisha wapinzani nao watasema wanajihami,kwa sababu wao hawana Bastola watabeba Mapanga,Mikuki na Mishale!!!!Go Tanzania go CCM,let us go to Rwanda & Burundi 1994,Kimbali & Biafra is approaching TZ kwa ujinga wa CCM wachache kama Rage Msomali ambaye keshaona ndugu zake Somalia wanakwisha kwa hiyo anatamani na watanzania wawe kama kwao Somali,Shame upon JK and his Government!!!!!
 
images

Watu tuna hivi vitu, itakuwa hicho kijiko cha chai???!!!

Hii ya kuchora mkuu c unaona triger iko mwisho huko as if ishakamuliwa,siku zote haikai mwisho karibia na kitako ukiikamua tu ukiachia lazima irudi almost katikati,so bado msomali kwa hapa hujamtisha
 
Nimeshtushwa na picha iliyopo kwenye ukurasa wa mbele wa moja ya magazeti ya leo. Mbunge wa Tabora mjini Ismail Aden Rage anapanda jukwaani na Libastola kiunoni. Mungu amejibu swali gumu ni nani anaeleta vurugu kwenye kampeni za Igunga? Bastola ya nini kwenye mikutano wakati kuna wanausalama weengi hivyo? CCM NI HATARI JAMANI NI KIFO..

Msomali huyu...anadhani Tanzania ni kama kwao!!!
 
Nimeshtushwa na picha iliyopo kwenye ukurasa wa mbele wa moja ya magazeti ya leo. Mbunge wa Tabora mjini Ismail Aden Rage anapanda jukwaani na Libastola kiunoni. Mungu amejibu swali gumu ni nani anaeleta vurugu kwenye kampeni za Igunga? Bastola ya nini kwenye mikutano wakati kuna wanausalama weengi hivyo? CCM NI HATARI JAMANI NI KIFO..
BmgAAAABJRU5ErkJggg==
BmgAAAABJRU5ErkJggg==


Hii ndo bastola ya RAGE haya ndo matokeo ya siasa za mabavu.
 
Wanajihami bwana , Kama watu wanamwagiwa tindikali na wengine kuchomewa nyumba ni lazima kujihami manake muda wowote unaweza kuvamiwa hata jukwaani si unajua tena kauli mbiu ya HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE
Watu kama wewe wavivu wa kufikili hamtakiwi kuwepo hapa jamvini unashindwaje kutambua wajibu wakulinda raia na mali zao ni polisi kuwa na sharp brain bana kama huwezi hamia facebook.
 
Mweee.... Hilo nalo neno,2kiangalia asili yake,inaweza ikawa kweli...
 
cha ajabu nini kule kwetu somaria kitu cha kawida
 
...........Nimedharau sana Rage, nlidhani ni mtu wa maana kumbe ni mwoga tu wa sanduku la kura !
 
Back
Top Bottom