KAMANDA HANGA
Senior Member
- Sep 22, 2011
- 158
- 58
Kumbuka Rage sio Gamba wa kwanza kudharau sheria ya umiliki na utumiaji wa siraha za moto kwani Gamba wa kwanza alitokea huko Mwanza ndani ya club na kuchomoa bastola yake kumshugulikia jamaa yake waliyetofautiana kiulevi tu; na Gamba mwingine ni yule anayejifanya kupinga ufisadi kumbe anajitafutia ukaribu na JK ili angalau avute ukuu wa mkoa lakini bure; ambaye kesi yake ya kumtishia Gamba mwenzake na bastola bado iko mahakamani na ugomvi wao ni vyeo ndani ya Ugamba.