wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,211
Baada ya juzi kupata ajali mbaya na kuua watanzania wengi japo Serikal imeficha ukwl na kusema ni abiria watano
Leo tena kampuni ya newforce imepAta ajali maeneo ya Kibaha
Hii itakua ajali ya 6 ndani ya siku 21
Chanzo kikuu cha ajali hizo ni kile kile mwendokasi na kufanya overtaking za ovyo
Sasa ni wakati wa Serikal kuipiga Rungu kampuni hii ya mwekezaji kama ilivyofnya kwa kampuni za wazawa
Leo tena kampuni ya newforce imepAta ajali maeneo ya Kibaha
Hii itakua ajali ya 6 ndani ya siku 21
Chanzo kikuu cha ajali hizo ni kile kile mwendokasi na kufanya overtaking za ovyo
Sasa ni wakati wa Serikal kuipiga Rungu kampuni hii ya mwekezaji kama ilivyofnya kwa kampuni za wazawa