Basi la kampuni ya Satco Express lapata ajali, leo Julai 11, 2023

Basi la kampuni ya Satco Express lapata ajali, leo Julai 11, 2023

wakukurupuka1

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
525
Reaction score
1,211
Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Dodoma kwenda Bukoba limepata ajali leo hii. Hakuna madhara yoyote kwa abiria.

Chanzo cha ajali ni mwendokasi na overtake ya dereva wa basi hilo.

Taarifa zaidi watatoa wenye mamlaka.

 
Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Dodoma kwenda Bukoba limepata ajali leo hii. Hakuna madhara yoyote kwa abiria.

Chanzo cha ajali ni mwendokasi na overtake ya dereva wa basi hilo.

Taarifa zaidi watatoa wenye mamlaka.

View attachment 2684800
Kama hakuna madhara ( Kifo au Majeraha ) kwa Abiria au Dereva au Kondakta basi hiyo siyo Ajali bali ni Changamoto tu ya Motokaa.
 
Madereva wazembe wafutiwe leseni au wapigwe BAN ya miaka miwili.
 
Back
Top Bottom