bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,321
Madereva wanawahi zile posho za watu kubeti yaani Kuna watz wamekaa mikoani wanabet nani atafungua geti Leo hii ni biashara ya kamari dereva anaefungua geti anapewa laki moja.Serikali ipige marufuku betting zote za mabus mfano pale uyole,kule kahama nk vijana wanakaa na ndoo kabisa za maji gari inayofungua geti inapokelewa kwa kumwagiwa maji yanafanyika,iwakamate wote wao ndio Chanzo Cha hizi ajali.
New force, Sauli, katarama,kiazi kikuu, Ally's,nk yaangaliwe kwa macho sita ndio yapo kwenye orodha ya hizi betting club za mabus Hawa vijana saa kumi na moja jioni wakionekana stand kamata wote wakafanye kazi zingine na Sio kutegemea betting za mabus huku watz wakiteketea kwa ajali sababu ya ushabiki wa kijinga.
New force, Sauli, katarama,kiazi kikuu, Ally's,nk yaangaliwe kwa macho sita ndio yapo kwenye orodha ya hizi betting club za mabus Hawa vijana saa kumi na moja jioni wakionekana stand kamata wote wakafanye kazi zingine na Sio kutegemea betting za mabus huku watz wakiteketea kwa ajali sababu ya ushabiki wa kijinga.