masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,906
- 13,211
Mimi si mpenzi kinda kinda wa Yanga lakini huwa naifuatilia sana.
Leo ilikuwa tuwafunge Simba ila pambano likaahirishwa kutokana na kujitokeza kwa shughuli nyingine ghafla ya kuzindua kitabu cha Mzee Ruksa.
Tatizo langu liko hapo!
Taratibu za kuahirisha pambano inabidi taarifa itoke masaa 24 kabla.
Sasa haya tunayoyaona niuswahili uliokithiri.
Hatuwezi kwenda namna hii.
Taarifa ya shughuli ya Mzee Ruksa haikujulikana mapema?
Usumbufu wa taratibu za maandalizi, wapenzi na mashabiki kufika na kuingia uwanjani mapema kuzuia kukanyagana milangoni, matayarisho yawalinzi wetu, wapenzi wameingia jijini toka mikoani, gharama zote hizi nani analipa?
Wizara husika na michezo imeleta furugu kwa wapenzi wa mpira YANGA na SIMBA.
Waziri na Wizara ikicheza na miamba hii ya soka nchini , hautaeleweka kamwe.
Na hapo ndio nasema Bashungwa anatakiwa kuwajibika, hatoshi.
Leo ilikuwa tuwafunge Simba ila pambano likaahirishwa kutokana na kujitokeza kwa shughuli nyingine ghafla ya kuzindua kitabu cha Mzee Ruksa.
Tatizo langu liko hapo!
Taratibu za kuahirisha pambano inabidi taarifa itoke masaa 24 kabla.
Sasa haya tunayoyaona niuswahili uliokithiri.
Hatuwezi kwenda namna hii.
Taarifa ya shughuli ya Mzee Ruksa haikujulikana mapema?
Usumbufu wa taratibu za maandalizi, wapenzi na mashabiki kufika na kuingia uwanjani mapema kuzuia kukanyagana milangoni, matayarisho yawalinzi wetu, wapenzi wameingia jijini toka mikoani, gharama zote hizi nani analipa?
Wizara husika na michezo imeleta furugu kwa wapenzi wa mpira YANGA na SIMBA.
Waziri na Wizara ikicheza na miamba hii ya soka nchini , hautaeleweka kamwe.
Na hapo ndio nasema Bashungwa anatakiwa kuwajibika, hatoshi.