Based ON True story

Based ON True story

Nikikuuliza kwanini tusimshawishi huyo Mzee akaenda bungeni akapiga wabunge wote, Kisha aende ikulu, nk. Utasema uchawi hautumiki hivyo.

Nyie ndiyo mnahadithia watu kwamba mtu Fulani kapata pesa kwa njia za kichawi, lakini papo hapo utahadithia uchawi siyo kwa ajili ya kunufaika kiuchumi.

Uchawi ungekua unatumika km ambavyo wee unataka, hapa Duniani pasingekalika? Mtu hawezi kutoka take avamie mtu asiyehusika kisa tu ana uwezo was kumuumiza? Na uchawi anao? Ukitaka kujua hilo wee mchokoze afu uone.
 
Uchawi ungekua unatumika km ambavyo wee unataka, hapa Duniani pasingekalika? Mtu hawezi kutoka take avamie mtu asiyehusika kisa tu ana uwezo was kumuumiza? Na uchawi anao? Ukitaka kujua hilo wee mchokoze afu uone.
Haya uchawi unatumikaje?? Na umejuaje unatumikaje??

Mnatuambia mtu anaweza akaenda kuiba sehemu bila kushtukiwa kwa uchawi, tukisema kwanini asitumie chumaulete akaibe benki? Unaambiwa uchawi hautumiki hivyo.

Uchawi hakuna, hofu zenu tu na kulishana matango pori. Ungekuwa unafanya kazi kweli kusingekalika
 
Nimekumbuka Polisi walikuja kijijini kwetu, tena walikua wamekuja kufanya msako was wawindaji holela, coz kijijini kwetu kupo karibu na msitu mnene, ila sio hifadhi.
Basi walivyofika wakafikia kwa mtendaji was kijiji, wakapokelewa, walivyomaliza mazungumzo yao, wakaambiwa kuna vijana fulani hao ndio hodari was kuwinda wanyama pori bila kibali wala ruhusa,

Sasa walivyofika kwa kijana m1 hawaku mkuta muhusika, ila walimkuta mzazi wake, yaan baba ake, katika kuhoji baba anagoma kutoa ushirikiano, si wakaanza kumpiga yule baba, acha wambaluzee, wanashangaa anageuka cobra, asiwaumize nini, polisi wawili walifia hospital ya mkoa, kwa kuchelewa matibabu, toka palee, heshima na adabu.
Waajiriwa was serikali wakija kijijini kwetu wanaishi kwa tahadhari..kwetu uchawi unanunuliwa tena kwa grade, ni bei yako tu.
Hii chai ya Nazi ni tamu sana 😋
 
Nimekumbuka Polisi walikuja kijijini kwetu, tena walikua wamekuja kufanya msako was wawindaji holela, coz kijijini kwetu kupo karibu na msitu mnene, ila sio hifadhi.
Basi walivyofika wakafikia kwa mtendaji was kijiji, wakapokelewa, walivyomaliza mazungumzo yao, wakaambiwa kuna vijana fulani hao ndio hodari was kuwinda wanyama pori bila kibali wala ruhusa,

Sasa walivyofika kwa kijana m1 hawaku mkuta muhusika, ila walimkuta mzazi wake, yaan baba ake, katika kuhoji baba anagoma kutoa ushirikiano, si wakaanza kumpiga yule baba, acha wambaluzee, wanashangaa anageuka cobra, asiwaumize nini, polisi wawili walifia hospital ya mkoa, kwa kuchelewa matibabu, toka palee, heshima na adabu.
Waajiriwa was serikali wakija kijijini kwetu wanaishi kwa tahadhari..kwetu uchawi unanunuliwa tena kwa grade, ni bei yako tu.
cocastic wewe hujafanikiwa kununua ili tuone namna unavobadilika
 
Back
Top Bottom