Je, unaujua utapeli wa ngono(based on true story)

Je, unaujua utapeli wa ngono(based on true story)

Sicario poison

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2021
Posts
2,327
Reaction score
4,574
Katika harakati zangu za kujitafutia ugali wa kila siku nikakutana na pisi moja kali sana yaani matata mno..
Figure fulani ya kibantu iliyojaliwa kila kitu
Yule dada akiniambia anatafuta kiwanja,sehemu nzuri
Kama kawaida nikamwambia viwanja vipo, karibu na barabara zina access ya maji, umeme na pia vimepimwa.
Dada kasema nimpeleke fasta..
Kiukweli sikuwa na kiwanja bali nilimcheki dalali mwenzang fasta akaniambia kiwanja kipo..
Akanielekeza nikamwelewa, nikamwambia dada twende fasta tukapanda bajaji mpaka site
Tumefika tukamkuta mmiliki basi tukapiga survey na kiwanja ni kikubwa balaa dada wa watu akapagawa..
Kaniuliza shilingi ngapi nikamwambia 25m(hapo mmiliki anahitaji 20m tu)
Dada(yule mrembo) akasema Basi kesho atakuja na mume wake, kanipa 20k pale nikapita hivi..
Kesho yake yule dada akanitafuta na kuniambia tukutane site kule kwenye ploti,basi mimi nikamcheki yule dalali mwenzangu na kumwambia asicheze mbali pamoja na mmiliki mwenyewe
Saa nane mchana yule dada akatia timu na mume wake kwenye eneo,tukawa jumla ya watu tano
Yule jamaa akashuka kwenye gari yake(harrier)akiwa na GPRS akawa anaandika andika vitu then akapata codes akascan akapata kiwanja kwenye ramani..Mimi na jamaangu hatukuelewa hata kinachoendelea
Kwa masikio yangu nikamsikia jamaa anamwambia mkewake "kiwanja kizuri sana hichi, utajenga apartments na fremu za biashara"
Dada akawa anacheka cheka kwa furaha
Tukaridhiana bei ikashuka mpaka 23m,jamaa akamuuliza mmiliki utaratibu wa kulipia ikabidi iwe kwa benki
Jamaa akasema akitoka hapa atafanya huo muamala then dada kesho atakuja na documents pamoja na mashahidi ili waandikishane,hiyo ikapita bila kupingwa
Jamaa akarudi kwenye gari akatoka na kibunda cha laki tatu akatuambia hii ni kwa ajili ya usumbufu wa ninyi madalali kunyweni maji tuonane hapa kesho saa nne.... Siku ikaisha hivyo

Kesho yake sa nne nikashangaa sikutafutwa mpaka alasiri, nikaamua kumcheki mmiliki kumuuliza Kama ameshapitishiwa muamala akasema bado pia dada hajatokea
Nikamtafuta jamaa mara zote hapokei simu, tuma sms lakini wapi hajibu pia nikamtishia kuwa Kuna mtu mwingine anataka kununua ila wapi jamaa ha respond mpaka siku ya tatu nikakata tamaa
Ikabidi niingie chimbo kujua ukweli...

To cut the long story short ilikuwa hivi....
Jamaa alimtokea yule dada baada ya kukutana sehemu flani(wala hakuwa mkewake )
Akamuomba mbususu,yule dada akakataa kwa kumwambia mshikaji kwamba kwa standard yake hawezi kutoa uchi ovyo ovyo
Jamaa akakomaa, demu nae akagoma
Jamaa hakukata tamaa mwisho wa siku yule bibie akatoa Bei Elekezi kwamba jamaa amnunulie kiwanja ndo apate kulamba asali
Mchizi akamwambia hilo jambo dogo wewe tafuta halafu utanijulisha
Kutafuta kiwanja ndio hapo Mimi nilipoonana nae

Inasemekana ile siku jamaa alivyotulipa laki tatu pale kwenye kiwanja...demu akaona huyu jamaa kweli yuko serious
Tulipoachana pale jamaa akatupa ndoano kwa mara ya mwisho,moja kwa moja wakanyoosha mpaka lodge...
Jamaa kaitifua hiyo mbususu (kuifumua Kama anavyosemaga Kapeace )mpaka usiku wa maneno
Baada ya hapo jamaa akamwitia Uber yule dada kwa miadi ya kukutana kesho saa nne

Inasemekana hiyo siku ndio ya mwisho kwa yule dada kumwona na kuwasaliana na yule jamaa.

Nb:huyo pichani ni mfano wa mhusika
 

Attachments

  • Screenshot_20220915-234110~2.png
    Screenshot_20220915-234110~2.png
    80.8 KB · Views: 88
Katika harakati zangu za kujitafutia ugali wa kila siku nikakutana na pisi moja kali sana yaani matata mno..
Figure fulani ya kibantu iliyojaliwa kila kitu
Yule dada akiniambia anatafuta kiwanja,sehemu nzuri
Kama kawaida nikamwambia viwanja vipo, karibu na barabara zina access ya maji, umeme na pia vimepimwa.
Dada kasema nimpeleke fasta..
Kiukweli sikuwa na kiwanja bali nilimcheki dalali mwenzang fasta akaniambia kiwanja kipo..
Akanielekeza nikamwelewa, nikamwambia dada twende fasta tukapanda bajaji mpaka site
Tumefika tukamkuta mmiliki basi tukapiga survey na kiwanja ni kikubwa balaa dada wa watu akapagawa..
Kaniuliza shilingi ngapi nikamwambia 25m(hapo mmiliki anahitaji 20m tu)
Dada(yule mrembo) akasema Basi kesho atakuja na mume wake, kanipa 20k pale nikapita hivi..
Kesho yake yule dada akanitafuta na kuniambia tukutane site kule kwenye ploti,basi mimi nikamcheki yule dalali mwenzangu na kumwambia asicheze mbali pamoja na mmiliki mwenyewe
Saa nane mchana yule dada akatia timu na mume wake kwenye eneo,tukawa jumla ya watu tano
Yule jamaa akashuka kwenye gari yake(harrier)akiwa na GPRS akawa anaandika andika vitu then akapata codes akascan akapata kiwanja kwenye ramani..Mimi na jamaangu hatukuelewa hata kinachoendelea
Kwa masikio yangu nikamsikia jamaa anamwambia mkewake "kiwanja kizuri sana hichi, utajenga apartments na fremu za biashara"
Dada akawa anacheka cheka kwa furaha
Tukaridhiana bei ikashuka mpaka 23m,jamaa akamuuliza mmiliki utaratibu wa kulipia ikabidi iwe kwa benki
Jamaa akasema akitoka hapa atafanya huo muamala then dada kesho atakuja na documents pamoja na mashahidi ili waandikishane,hiyo ikapita bila kupingwa
Jamaa akarudi kwenye gari akatoka na kibunda cha laki tatu akatuambia hii ni kwa ajili ya usumbufu wa ninyi madalali kunyweni maji tuonane hapa kesho saa nne.... Siku ikaisha hivyo

Kesho yake sa nne nikashangaa sikutafutwa mpaka alasiri, nikaamua kumcheki mmiliki kumuuliza Kama ameshapitishiwa muamala akasema bado pia dada hajatokea
Nikamtafuta jamaa mara zote hapokei simu, tuma sms lakini wapi hajibu pia nikamtishia kuwa Kuna mtu mwingine anataka kununua ila wapi jamaa ha respond mpaka siku ya tatu nikakata tamaa
Ikabidi niingie chimbo kujua ukweli...

To cut the long story short ilikuwa hivi....
Jamaa alimtokea yule dada baada ya kukutana sehemu flani(wala hakuwa mkewake )
Akamuomba mbususu,yule dada akakataa kwa kumwambia mshikaji kwamba kwa standard yake hawezi kutoa uchi ovyo ovyo
Jamaa akakomaa, demu nae akagoma
Jamaa hakukata tamaa mwisho wa siku yule bibie akatoa Bei Elekezi kwamba jamaa amnunulie kiwanja ndo apate kulamba asali
Mchizi akamwambia hilo jambo dogo wewe tafuta halafu utanijulisha
Kutafuta kiwanja ndio hapo Mimi nilipoonana nae

Inasemekana ile siku jamaa alivyotulipa laki tatu pale kwenye kiwanja...demu akaona huyu jamaa kweli yuko serious
Tulipoachana pale jamaa akatupa ndoano kwa mara ya mwisho,moja kwa moja wakanyoosha mpaka lodge...
Jamaa kaitifua hiyo mbususu (kuifumua Kama anavyosemaga Kapeace )mpaka usiku wa maneno
Baada ya hapo jamaa akamwitia Uber yule dada kwa miadi ya kukutana kesho saa nne

Inasemekana hiyo siku ndio ya mwisho kwa yule dada kumwona na kuwasaliana na yule jamaa.

Nb:huyo pichani ni mfano wa mhusika
Mnateswa na mapenzi kwa sababu mnataka mademu wanaosifiwa na kila mtu kwamba ni mzuri sana

Kuna hii class ya medium ladies huwa sio wazuri sana wala wabaya sana

These are my thing coz sio expensive sana na mara nyingi wanajiheshimu cz competition sio kubwa kama hao wenu.
 
Ye nae alizidisha mbususu zote hizi ya kwake anataka kiwanja cha milioni 20 ndo akulwe, bora angetoa bure tu sasa kajidhalilisha hadi dalali umejua kaliwa kwa mkopo
Mkopo pia umempa thamani maana ukikopwa kuna uwezekano wa kulipwa.

Dada kagongwa kwa sound hewa tu.
 
Back in the days, kuna binti mmoja wa kisabato niliwahi mwelewa sana. Binti kweli mashalah kila idara, shepu kama ya Uwoya lakini maisha tu hajatakata kiasi hicho. Nilimsarandia kwa muda mrefu mno bila mafanikio yeyote licha ya visenti vya kula kila anapohitaji na sababu za ubize kila ninapomhitaji. Nilibembeleza mpaka nikakata tamaa.
Siku moja nikiwa na mishe zangu tu nyumbani mara wazo la kumla likanijia tena but this time lazima nimwingie kwa master plan nzuri. Nikamwendea hewani na kama kawaida yake akanipa sababu ya ubize. Huyu binti alikuwa anafanya kazi ya ushonaji hivyo alidai ana nguo nyingi za wateja wanamsumbua yapata wiki mbili hajazimaliza. Nikamwambia, mbona easy mama, ni nguo ngapi? Kanionyesha vitenge kama vinne na vyote vinahitaji kushonwa magauni ya harusi sijui. Nikamwambia chukua hivyo vitenge, twende pale kuna mafundi tukampe yule fundi ambaye wewe unamfahamu ayashone. Kuhusu pesa mimi ntalipia nguo zote. Then utakuwa free angalau nami nikapate burudani. Binti baaada ya kulifikiria hilo akaona lina manufaa sana kwake isitoshe pesa ya ushonaji kashakula, kazi hajafanya na wateja wanamsumbua. Ikabidi akubali. Tukapanga muda hao tukaongozana mpaka kwa fundi.
Baada ya kufika kwa fundi, binti akamueleza mitindo yote ya kushonwa zile nguo na deadline ni line na fundi akasema kiasi anachohitaji kwaajili ya kazi ile 60.000/=. Binti akanigeukia mimi maana nilikuwa nasikiliza tu yale maelezo. Nikamwambia binti, hamna tabu hapo then nikamgeukia fundi. Fundi sasa kwakuwa umeipata na kuilewa kazi na ninavyowafahamu nyie hamuwezi kufanya kazi bila pesa nakutangulizia hii hapa 18.000/=. Nyingine yote nitampa huyu binti ndo ataileta kesho. Hii kazi ina haraka sana ndo maana tumeigawa nusu walau iishe kwa wakati. Fundi akakubali kwa moyo safi kabisa. Kachukua na kuanza kazi.
Then nikamgeukia binti kuna lingine akasema je hela iliyobaki? Nikamwambia ntakupa wewe maana wewe ndo utakuwa unafuatilia. Utanipa lini? Nitakupa leo leo lakini kiukweli nilikuwa na na 6.000/= kama salio liliobaki mfukoni. Binti akaema poa, twende. Yes, njia hiyo nikaongoza mpaka lodge. Kufika lodge nikapewa chumba tukaingia ndani na kuanza kulitafuna lile tunda. Nilikuwa nimelipania haswaaa. Nikapiga cha kwanza fresh, tukapumzika. Hapo nikaulizwa kuhusu hela. Nikachukua simu yangu, kuna mwamba nilikuwa nimempanga aseme ananiletea pesa muda si mrefu maana anatoka kazini. Binti kusikia hivo katoa cha pili. Piga hapo weee nikaliza. Mwamba bado hajafika. Binti anaaanza kulalama muda unaenda na yeye anachelewa nyumbani. Nikamwambia subiri kidogo anakuja huku nikifanya jitihada nile cha tatu lakini akawa hatoi ushirikiano vema.
Kuona muda unazidi kwenda na jamaa hafiki ikabidi aage hela utanitumia. Nikamwambia subiri kidogo jamaa anakuja. Mwisho wa siku akaondoka na mimi nikatoka baada ya mdau kufika maana hata pesa ya chumba sikuwa nimelipa. Baada ya hapo nami nikawa bize kama yeye mpaka akanyosha mikono. Sijui alimalizaga vipi na yule fundi.
 
Duh
Back in the days, kuna binti mmoja wa kisabato niliwahi mwelewa sana. Binti kweli mashalah kila idara, shepu kama ya Uwoya lakini maisha tu hajatakata kiasi hicho. Nilimsarandia kwa muda mrefu mno bila mafanikio yeyote licha ya visenti vya kula kila anapohitaji na sababu za ubize kila ninapomhitaji. Nilibembeleza mpaka nikakata tamaa.
Siku moja nikiwa na mishe zangu tu nyumbani mara wazo la kumla likanijia tena but this time lazima nimwingie kwa master plan nzuri. Nikamwendea hewani na kama kawaida yake akanipa sababu ya ubize. Huyu binti alikuwa anafanya kazi ya ushonaji hivyo alidai ana nguo nyingi za wateja wanamsumbua yapata wiki mbili hajazimaliza. Nikamwambia, mbona easy mama, ni nguo ngapi? Kanionyesha vitenge kama vinne na vyote vinahitaji kushonwa magauni ya harusi sijui. Nikamwambia chukua hivyo vitenge, twende pale kuna mafundi tukampe yule fundi ambaye wewe unamfahamu ayashone. Kuhusu pesa mimi ntalipia nguo zote. Then utakuwa free angalau nami nikapate burudani. Binti baaada ya kulifikiria hilo akaona lina manufaa sana kwake isitoshe pesa ya ushonaji kashakula, kazi hajafanya na wateja wanamsumbua. Ikabidi akubali. Tukapanga muda hao tukaongozana mpaka kwa fundi.
Baada ya kufika kwa fundi, binti akamueleza mitindo yote ya kushonwa zile nguo na deadline ni line na fundi akasema kiasi anachohitaji kwaajili ya kazi ile 60.000/=. Binti akanigeukia mimi maana nilikuwa nasikiliza tu yale maelezo. Nikamwambia binti, hamna tabu hapo then nikamgeukia fundi. Fundi sasa kwakuwa umeipata na kuilewa kazi na ninavyowafahamu nyie hamuwezi kufanya kazi bila pesa nakutangulizia hii hapa 18.000/=. Nyingine yote nitampa huyu binti ndo ataileta kesho. Hii kazi ina haraka sana ndo maana tumeigawa nusu walau iishe kwa wakati. Fundi akakubali kwa moyo safi kabisa. Kachukua na kuanza kazi.
Then nikamgeukia binti kuna lingine akasema je hela iliyobaki? Nikamwambia ntakupa wewe maana wewe ndo utakuwa unafuatilia. Utanipa lini? Nitakupa leo leo lakini kiukweli nilikuwa na na 6.000/= kama salio liliobaki mfukoni. Binti akaema poa, twende. Yes, njia hiyo nikaongoza mpaka lodge. Kufika lodge nikapewa chumba tukaingia ndani na kuanza kulitafuna lile tunda. Nilikuwa nimelipania haswaaa. Nikapiga cha kwanza fresh, tukapumzika. Hapo nikaulizwa kuhusu hela. Nikachukua simu yangu, kuna mwamba nilikuwa nimempanga aseme ananiletea pesa muda si mrefu maana anatoka kazini. Binti kusikia hivo katoa cha pili. Piga hapo weee nikaliza. Mwamba bado hajafika. Binti anaaanza kulalama muda unaenda na yeye anachelewa nyumbani. Nikamwambia subiri kidogo anakuja huku nikifanya jitihada nile cha tatu lakini akawa hatoi ushirikiano vema.
Kuona muda unazidi kwenda na jamaa hafiki ikabidi aage hela utanitumia. Nikamwambia subiri kidogo jamaa anakuja. Mwisho wa siku akaondoka na mimi nikatoka baada ya mdau kufika maana hata pesa ya chumba sikuwa nimelipa. Baada ya hapo nami nikawa bize kama yeye mpaka akanyosha mikono. Sijui alimalizaga vipi na yule fundi.
Duh! Ulitisha Sana mkuu!
 
Back
Top Bottom