Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,024
Kwani yule Konki master anasemaje??
Hata mimi alinikera hapo zaidi " pia kuiachia ile clip ni jambo lilo nikera pia tena sanaNilicho chukia mimi ni kumjibu yule mzee jeuri
Kwani Vikao vya ndani ya vyama vya siasa kama Chadema inazuiliwa kwa Sheria ipi??? serikali ikiamua haishindwi kitu hasa ya Jiwee...Hiyo ya kumfungia nchi za nje inashangaza kusema kweli na sidhani kama wana mamlaka hayo zaidi ya kutaka kumkomoa tu. Hivi akifanya tamasha nchi za nje watamfanya nini? Kumpandisha kizimbani kwa sheria ipi!?
Wewe lazima ni ccm tuClouds watakuwa wana "mkono" kwenye hii ishu...
Hivi si anaweza kwenda kutumbuiza huko Nairobihao basata wataaibika
huwezi kumfungia diamond kwasababu hakuna atakayeimba tena
Hahaaaaahaaaa...Wewe lazima ni ccm tu
Hiyo Wasafi inamilikiwa na hao hao Clouds ni kama CCM na UDP ya mzee Cheyo!Clouds watakuwa wana "mkono" kwenye hii ishu...
Reasoning yako na IQ inaonyesha wewe ni ccmHahaaaaahaaaa...
Kwa nini mkuu!?.